Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,050
Acha hizo jamaa hajaspecify.Mkuu kwani wewe ni KE?
Nimesikia jamaa anatafuta KE.
Acha hizo jamaa hajaspecify.Mkuu kwani wewe ni KE?
Nimesikia jamaa anatafuta KE.
Hakuna mjanja anayeshabikia simba...wajanja wa ukweli wote wako jangwaniMe Yanga damu
![]()
![]()
![]()
..........
sifa za kijingaaaacha kujifanya mungu mtu
Huyu jamaa sio ishu kabisaMkuu utaleta tafrani

Hakuna mjanja anayeshabikia simba...wajanja wa ukweli wote wako jangwani
teh teh teh
Huyo jamaa hana mke hapo.
We nae mchokoziiiiHii ni swaga au shabiki wa simba anafuta machozi
kwenye haka kauzi basiWeekend hii itakuwa ndefu sana.
Mimi namjua povu lake ni hatariiHuyu jamaa sio ishu kabisa![]()
Du....atakuwa alimwokota kimbokaHuyo jamaa hana mke hapo.
Vyura FC Hawapati usingizi kabisaWeekend hii itakuwa ndefu sana.
Hahahaa jamaa ndicho atakacho........snitchMimi namjua povu lake ni hatarii
Kwa lazimaWe nae mchokoziiii
Hebu kadondoshekwenye haka kauzi basi
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/15538271
Hahahahaha usijali wakati ukifika utatajwa tu mkuuMkuu wabeba box hujatutaja.....mbona.....inamaana hututambui
kumbe PT(POTI)Kumbe nini.
Njoo mkuu.
Ila mambo ya mlungula weka kando.
Hupokei Mlungula?