Nani huyo wampa maneno matamu hivo..Acha nikwambie tu
Hii siri ya moyo wangu
Hata nikificha mboni zitaniumbua aah![]()
Mmmhh wimbo ule wa jux alio shuti China unaihusu..Acha nikuonyeshe kina na upama wa mapenzi yangu
Na uwe wangu wa milele niwe wako![]()
Wala sio juxMmmhh wimbo ule wa jux alio shuti China unaihusu..
Babe wangu bwanaNani huyo wampa maneno matamu hivo..
Mmhh basi anayo raha.. nipatie connection kwa mdogo wakoBabe wangu bwana
Mmhh basi anayo raha.. nipatie connection kwa mdogo wako



Mondray bwanaMwenye hilo jina kashajifiaMondray bwana
Mimi ndio nimelizoea hilo hayo mengine siyaweziMwenye hilo jina kashajifia
Haina shida ita likufurahishalo.. Tumomo wapii na Demi..Mimi ndio nimelizoea hilo hayo mengine siyawezi
Wapo demi kabadili I'd tu mda mbona mnaonana huko sanaHaina shida ita likufurahishalo.. Tumomo wapii na Demi..
Nimemmiss bebi wangu wa kipindi hiko..Wapo demi kabadili I'd tu mda mbona mnaonana huko sana