Ukaukwi kunisusia unaondoka unaondoka kama daladala za kkoo inatoka inatoka
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka nishapat pa kuegemea ooh napendwa![]()
Na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea![]()
marahaba mkuu wangu naona umepona sasa
Hadharani unanisusia
kuropoka ropoka
Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka![]()
Mmh napendwaaaa na sio kwa ninavyojidekea![]()
![]()
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy![]()
Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy![]()
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea![]()
![]()
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu![]()
Napenda akinipa
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho![]()
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea![]()
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy![]()
Rahaaaaaaaa![]()
Na kama mapenzi
Roho yake bahari![]()
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga![]()
Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani.![]()
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa![]()
Mashalaaaah, mtoto mlito, sauti nyororo , ya mtoa NYOKA pangoniOooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy![]()
Mashalaaaah, mtoto mlito, sauti nyororo , ya mtoa NYOKA pangoni
Napata kahawa,huku nasikiliza na kusoma MASHAIRI matamu
Walahi rahaaaa



wee mzee bwana ndio nini kuquote zote hiviNitakata usijari shangazi kdg kdgKukataa ulevi we mzee
Hahahaha, nimependa mashairiwee mzee bwana ndio nini kuquote zote hivi
UnastahiliOoh napendwa![]()
We mzee bwana ujue unanifurahisha sanaUnastahili
Hahahahaha acha tu nyimbo hii mzee nzuri sanaHahahaha, nimependa mashairi
Ndio mkuumarahaba mkuu wangu naona umepona sasa
Hebu hukooMmh napendwaaaa na sio kwa ninavyojidekea![]()
![]()