Ukaukwi kunisusia unaondoka unaondoka kama daladala za kkoo inatoka inatoka
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka nishapat pa kuegemea ooh napendwa
Na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea
marahaba mkuu wangu naona umepona sasa
Hadharani unanisusia
kuropoka ropoka
Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka
Mmh napendwaaaa na sio kwa ninavyojidekea
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Napenda akinipa
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
Rahaaaaaaaa
Na kama mapenzi
Roho yake bahari
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga
Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani.
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa
Mashalaaaah, mtoto mlito, sauti nyororo , ya mtoa NYOKA pangoniOooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy
wee mzee bwana ndio nini kuquote zote hiviMashalaaaah, mtoto mlito, sauti nyororo , ya mtoa NYOKA pangoni
Napata kahawa,huku nasikiliza na kusoma MASHAIRI matamu
Walahi rahaaaa
Nitakata usijari shangazi kdg kdgKukataa ulevi we mzee
Hahahaha, nimependa mashairiwee mzee bwana ndio nini kuquote zote hivi
UnastahiliOoh napendwa
We mzee bwana ujue unanifurahisha sanaUnastahili
Hahahahaha acha tu nyimbo hii mzee nzuri sanaHahahaha, nimependa mashairi
Ndio mkuumarahaba mkuu wangu naona umepona sasa