Makapuku Forum

Ukaukwi kunisusia unaondoka unaondoka kama daladala za kkoo inatoka inatoka
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka nishapat pa kuegemea ooh napendwa
Na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea
marahaba mkuu wangu naona umepona sasa
Hadharani unanisusia
kuropoka ropoka

Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka
Mmh napendwaaaa na sio kwa ninavyojidekea
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Napenda akinipa
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
Rahaaaaaaaa
Na kama mapenzi
Roho yake bahari
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga
Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani.
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa
Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy
Mashalaaaah, mtoto mlito, sauti nyororo , ya mtoa NYOKA pangoni

Napata kahawa,huku nasikiliza na kusoma MASHAIRI matamu

Walahi rahaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom