Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,444
Unaambiwa binamu kwa jirani yangu huwa hasemi kitu...kila kitu ni ndio [emoji16][emoji16]Sio binamu ninayemjua mm awekeze tu kifwala fwala na ubahili wake baba wawili
Unaambiwa binamu kwa jirani yangu huwa hasemi kitu...kila kitu ni ndio [emoji16][emoji16]Sio binamu ninayemjua mm awekeze tu kifwala fwala na ubahili wake baba wawili
Ankoo kwema?Niwatakie week end njema
Kwema anko, naona week end mmko vzrAnkoo kwema?
Hivi si nilikwambia nimestaafu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee wa ugimbi katekwaAnkooo mzee wa ugimbi haha
Baba wawili hiyo avatar naipendaga mm nikimuona huyo mdada najiona mm yaan mm kabisa nimemfananiaUnaambiwa binamu kwa jirani yangu huwa hasemi kitu...kila kitu ni ndio [emoji16][emoji16]
Asante na kwako pia we mzeeNiwatakie week end njema
Si kweli nini sasaAaaah wapi si kweli.
Jaman mara ya pili hii unaipenda hii avatar,kumbe umefanana naye...nawe wapenda kudeka kama yeye pia sioBaba wawili hiyo avatar naipendaga mm nikimuona huyo mdada najiona mm yaan mm kabisa nimemfanania
Tupo salama ankooKwema anko, naona week end mmko vzr
Na kwako pia binamu...Wikend inaishiria na ninawatakia mapumziko mazuri
Safi sana, naona Leo Jpili, misa kdg then bata km kawaTupo salama ankoo
Ndio ankoo,tunamalizia jumapili tulivuSafi sana, naona Leo Jpili, misa kdg then bata km kawa
Hahahaha, safi sana ,siku moja tutajoin pamojaNdio ankoo,tunamalizia jumapili tulivu
Hahahaha, safi sana ,siku moja tutajoin pamoja
Binamu ulivyotaja mishkaki mate yamenijaa tena iwe ya nundu hiviWewe uko Congo unakula Primus beer, ukija mujini tujongee kwa Mfojo tukale mishikaki
Napenda kudeka mm baba wawiliJaman mara ya pili hii unaipenda hii avatar,kumbe umefanana naye...nawe wapenda kudeka kama yeye pia sio