Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwema binamu?...ijumaa njema na kwako pia...msalimie jirani yangu ABJ

..binamu nashukuru kwa kunijulia hali, nakusalimia pia.
Wikendi ndo kunakucha tutoke kuitafuta furahiday.

My Telemundo ABJ hajambo sana, anazidi kuwa mrembo tu hadi napata mawazo, mtu sitoi matumizi (sio kwamba me mbahili, ila sijalipwa hela zangu) lakini mtoto anazidi kunoga utasema anaogea mafuta ya nazi
 
..binamu nashukuru kwa kunijulia hali, nakusalimia pia.
Wikendi ndo kunakucha tutoke kuitafuta furahiday.

My Telemundo ABJ hajambo sana, anazidi kuwa mrembo tu hadi napata mawazo, mtu sitoi matumizi (sio kwamba me mbahili, ila sijalipwa hela zangu) lakini mtoto anazidi kunoga utasema anaogea mafuta ya nazi
Hahaha hayo mafuta ya nazi pia unamnunulia binamu??

Msalimie sana,uwe unamwachia mara moja moja,mwisho wa siku atapotea njia
 
..binamu nashukuru kwa kunijulia hali, nakusalimia pia.
Wikendi ndo kunakucha tutoke kuitafuta furahiday.

My Telemundo ABJ hajambo sana, anazidi kuwa mrembo tu hadi napata mawazo, mtu sitoi matumizi (sio kwamba me mbahili, ila sijalipwa hela zangu) lakini mtoto anazidi kunoga utasema anaogea mafuta ya nazi
Wanakutunzia wanaume wenzio binamu we furahia tu
 
Back
Top Bottom