Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wanaume mkujeee kuna ujumbe wenu
20190823_044504.jpg
 
Msitu wa Amazon ndiyo unaitwa mapafu ya dunia. Tatizo rais mpya wa Brazil hajali mambo ya mazingira na ameruhusu makampuni mengi ya magogo yanakata miti hovyo. Hivi tunavyoongea zaidi ya nusu ya Amazon inawaka moto na inasemekana moto huo umewashwa na hawa hawa wakata magogo na wachimba madini. Tayari wataalamu wanatabiri kuongezeka kwa magonjwa ya mapafu, ukame na kuongezeka kwa joto duniani....

Binadamu siye yaani sijui tukoje [emoji36][emoji36][emoji36]
 
Msitu wa Amazon ndiyo unaitwa mapafu ya dunia. Tatizo rais mpya wa Brazil hajali mambo ya mazingira na ameruhusu makampuni mengi ya magogo yanakata miti hovyo. Hivi tunavyoongea zaidi ya nusu ya Amazon inawaka moto na inasemekana moto huo umewashwa na hawa hawa wakata magogo na wachimba madini. Tayari wataalamu wanatabiri kuongezeka kwa magonjwa ya mapafu, ukame na kuongezeka kwa joto duniani....

Binadamu siye yaani sijui tukoje [emoji36][emoji36][emoji36]
Aiseeee
 
Back
Top Bottom