moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 158,370
- 776,038
Mkuu, niaje
Mtekaji hana huruma na sisi
Sasa hili jukwaa nani atatulindia
Mtekaji hana huruma na sisi
Sasa hili jukwaa nani atatulindia
Ni poa mnoMkuu, niaje
JiweHivi humu watu mmetekwa au mmeibwa
Hahhahaha wenye ugonjwa wenu mnaitwa hukuView attachment 1150093
Haya matango poriWanatuona watoto na kutudanganyaView attachment 1150094
[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unachokitafuta utakipataJiwe
Haha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unachokitafuta utakipata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unachokitafuta utakipata
#FreeMtotoMlito
Salama binamu yangu,habari za huko?mapumziko yanaendelea vyema kabsa.......binamu salama ndugu yangu! Mapumziko ya 8-8 yanaendelea vipi.?
#FreeMtotoMlitofromguesthouse#
Hivi hashtag unaipataje!?
.....ha ahhahaha, unajua binamu nikisema ushamba mzigo tafadhali usisikilize zile clip za kina Kinana wakimsema mzeewangoma. Mimi mambo ya hashtag nitajua baadaye nikikaa na telemundo ABJ anipe semina elekeziSalama binamu yangu,habari za huko?mapumziko yanaendelea vyema kabsa...
Hahah hiyo hashtag binamu
Binamu kila kitu unakuwa wa mwisho kujua acha jirani ABJ aje akusaidie
Cc mtekaji#FreeMtotoMlito
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]....binamu salama ndugu yangu! Mapumziko ya 8-8 yanaendelea vipi.?
#FreeMtotoMlitofromguesthouse#
Hivi hashtag unaipataje!?
Ha haha binamu,,omba mtekaji amuachie jirani yangu huko aliko.....ha ahhahaha, unajua binamu nikisema ushamba mzigo tafadhali usisikilize zile clip za kina Kinana wakimsema mzeewangoma. Mimi mambo ya hashtag nitajua baadaye nikikaa na telemundo ABJ anipe semina elekezi