Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,442
Mtekaji kakaza kweli kweli hahaCc mtekaji
Mtekaji kakaza kweli kweli hahaCc mtekaji
Kwa hyo wengi wametekwa eeehHa haha binamu,,omba mtekaji amuachie jirani yangu huko aliko
Eeh na yeye katekwa piaKwa hyo wengi wametekwa eeeh
.
Nakuona hapa bar shunie..!Endeleeni kutekwa hivyohivyo
Siku zote nafahamu kuwa ww ndiye uliyemteka huyu mrembo...tusaidie kutoa maelezo binamu ni wapi huyu bibie umemficha......duh, binamu umenikumbusha, hivi huyu mtoto yuko wapi!? Yaani kila ilikuwa nikipata hela nampenda yeye, zikiisha tu au madeni yakiongezeka basi malavidavi yanahamia kwa telemundo
Hahaha binamu.
...usimsahau na yule ustaadhat wa kitanga, usidhani tumekusahau binamu



Hahaha binamu![]()
Ndio nani huyu baba wawili kijana mpolr anaemsema binamu.
...usimsahau na yule ustaadhat wa kitanga, usidhani tumekusahau binamu
Huyo atakuwa shunie rapaNakuona hapa bar shunie..!
Wewe hapo unakunywa heineken.
Tafuta na ww mtekaji mfyuuuuKwa hyo wengi wametekwa eeeh
....binamu salama ndugu yangu! Mapumziko ya 8-8 yanaendelea vipi.?
#FreeMtotoMlitofromguesthouse#
Hivi hashtag unaipataje!?
#FreeMtotoMlito



nyie humu si huwa mnaniachaga peke angu na je wajua yangu au sio nyie nimechoka na mm kubaki peke angu
We jisomee tu hivyohivyo princeHaya matango pori
Jiwe alishastaafuJiwe