Makapuku Forum

Makapuku Forum

binamu hizo sio shutuma,tuliona kimya kingi tukajua umetekwa na Sepenga....

Ndio binamu,napenda matunda,naona umehamia kwenye kilimo cha matunda,,,kila la kheri huko hautadhurumia kama kwenye koroshow

....matunda naamini hawatanidhulumu, nimehamia huku, nilitaka kuanza kuuza mkaa lakini yule mkazi wa Kigamboni kawatisha wateja wangu nimeamua sasa nijikite kwenye matunda, mniombee
 
...duh, sasa hizi shutuma kwa hapa Utete nilipokuja kutembea tunaziita fitna. Binamu Tumosa furana atakunywa sana na kwa kuonesha msisitizo hapa nimelima mananasi, namletea yaliyoivia shambani atengeneze jwisi asahau fursana,
Binamu kwani nawe unapenda matunda nikuletee?
Heshima yako binamu usinitoe kwenye lengo la fursana,maana hayo mananasi unaweza singizia msimu
 
Back
Top Bottom