Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,444
Ndio hapo sasa,,je wajua sasa hivi tunaisikia tu kwa jiraniMtekaji hana huruma na sisi
Sasa hili jukwaa nani atatulindia
#FreeMtotoMlito haha
Ndio hapo sasa,,je wajua sasa hivi tunaisikia tu kwa jiraniMtekaji hana huruma na sisi
Sasa hili jukwaa nani atatulindia
HahaAtasingizia msimu Hugo oooh mwaka huu mvua zilikuwa kidogo
Pole sana binamu...unacheza namba ngapi binamuJumapili njema wadau wa jukwaa hili zuri. Ndugu yenu nipo nachechemea nimeumia kwenye mpira wa maveterani
Pole sana binamu...unacheza namba ngapi binamu
Hekima haiji kwa noti
Haha sasa binamu mbona kama namba zote unacheza wewe...binamu utakuwa kiraka kama Mwanamtwa Kiwelu....asante, mimi ni kocha mchezaji, beki ya kushoto wingateleza, namimina krosi dongo ukigusa goli.
Japo umri umeenda lakini club yangu imeniongezea mkataba wa miaka minne niendelee kutumikia.
Yaani binamu kama isingekuwa hizi bia za promotion ungeniona kwenye tv kombe la mataifa huru.
Haha sasa binamu mbona kama namba zote unacheza wewe...binamu utakuwa kiraka kama Mwanamtwa Kiwelu
Hahahahahah sawa sawa binamu...uwe na wasaa mwema huko uliko binamuHa ahahahhahh, binamu sisi ndo tunaoitwa mtembeapopote, hata ukipa. Mwanamtwa type ha ahahahha.
Usiku mwema binamu.
Hahahahahah sawa sawa binamu...uwe na wasaa mwema huko uliko binamu
I miss you my partner in crime..[emoji7]Abeee baba naah
Mfyuuuuu....tumelipwa tayari, ila nimeamua kuunga mkono juhudi, nimechangia ujenzi wa stigla Goji na reli ya umeme, oh na zimekamilisha uwanja wa ndege wa daslamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ubahili unakusumbua...asante kwa kunikumbusha binamu, yaani saa nyingine huwa nasahau makusudi hata nikikumbushwa.
Weka picha tuone ulipoumia binamuJumapili njema wadau wa jukwaa hili zuri. Ndugu yenu nipo nachechemea nimeumia kwenye mpira wa maveterani
Shikamoo kaka ningendakoNipo salama pia binamu,weekend inaishilizia taratibu kabsa
Zitavokuwa nyingiFursana kumbe inalewesha dada ake haha
Mbona maneno mengi....asante, mimi ni kocha mchezaji, beki ya kushoto wingateleza, namimina krosi dongo ukigusa goli.
Japo umri umeenda lakini club yangu imeniongezea mkataba wa miaka minne niendelee kutumikia.
Yaani binamu kama isingekuwa hizi bia za promotion ungeniona kwenye tv kombe la mataifa huru.
Anachezea chumbani humjui Huyo ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana binamu...unacheza namba ngapi binamu