Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Du na wewe huendi churchNajisikia vibaya sana kwa kutoenda kanisani kwa siku ya leo.
Tupo pamoja sana kaka.
Du na wewe huendi churchNajisikia vibaya sana kwa kutoenda kanisani kwa siku ya leo.
Tupo pamoja sana kaka.
Na mimi mkuu hasa mahelaUsijali brother.
Mkuu wanasema adui muombee njaa....kwani mi adui yake?!Wewe nakuombea njaa.![]()
![]()
Ndio natoka church mkuuDu mi ibada ilikuwa jana nimekuja kusalimia humu kumbe ndo mnaenda church
Vipi somo limekufanya utafakari wiki hii ulivyoishiNdio natoka church mkuu
mbona mapema aisee mimi nikiingia Church kutoka saa 10 jioni au 11Ndio natoka church mkuu
Ndo naamka, sitimbi kunachelewa kupambazukaMbona umetoa macho kama unasubiri umbea
UtazoeaMkuu wanasema adui muombee njaa....kwani mi adui yake?!
Du...basi angalau hii ya Leo tuUtazoea
Punguzeni kufukunyua....Ndo naamka, sitimbi kunachelewa kupambazuka
We ndo mtumishi au unakuwa unafanyajembona mapema aisee mimi nikiingia Church kutoka saa 10 jioni au 11
Basi sawa.Du...basi angalau hii ya Leo tu
We ndo mtumishi au unakuwa unafanyaje
hapana mkuu mimi ni muumini wa kawaida tena huwaga sisalimiani na mtu nikitoka direct home mm wa mwisho kuingia ila wakwanza kutokaDu...utakuwa unazamia misa ya watoto![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hapana mkuu mimi ni muumini wa kawaida tena huwaga sisalimiani na mtu nikitoka direct home mm wa mwisho kuingia ila wakwanza kutoka
Leo unaenda kuimalizia wapi jumapili yako mbona watu-wish mapemaMuwe na jumapili njema magazeti yatafuata soon