Jirani weweHalafu jirani mi na wewe ndo hatusalimiani shikamoo hivi kwaniningoja nijaribu kukusalimia Kama utaitika
Shikamoo jirani
ningendako duh, nimeifurahia hii clip ya huyu DJ Arch, ngoma anapiga za South na kwa vile mimi simu yangu ina sabufa (subwoofer). Hii simu ni zile mpya na nimeiunganisha na JB Charge E14 muziki wake si wa kitoto.
Asante
NB: Nilinunua simu mpya baada ya kulipwa hela yangu ya kwanza ya kuuza korosho, lakini nadhani nilifanya maamuzi mabovu, kama kuna mtu anashida na simu mpya anitafute nimuuzie. Ikiwa utaleta mteja basi utapata cha juu na hutakatwa kodi, cash bin cash
Nipo.Upo ndugu yangu
Jipya ni kuhusu hela za korosho...salamu nimeipokea. Ngoja kwanza niongee na my Telemundo maana ndugu yenu ndo najirejesha toka kumtumikia baniani.
Kuna Jipya?
ningendako duh, nimeifurahia hii clip ya huyu DJ Arch, ngoma anapiga za South na kwa vile mimi simu yangu ina sabufa (subwoofer). Hii simu ni zile mpya na nimeiunganisha na JB Charge E14 muziki wake si wa kitoto.
Asante
NB: Nilinunua simu mpya baada ya kulipwa hela yangu ya kwanza ya kuuza korosho, lakini nadhani nilifanya maamuzi mabovu, kama kuna mtu anashida na simu mpya anitafute nimuuzie. Ikiwa utaleta mteja basi utapata cha juu na hutakatwa kodi, cash bin cash
Njema njema
BabyAmkeni muwahi namba huko
ningendako duh, nimeifurahia hii clip ya huyu DJ Arch, ngoma anapiga za South na kwa vile mimi simu yangu ina sabufa (subwoofer). Hii simu ni zile mpya na nimeiunganisha na JB Charge E14 muziki wake si wa kitoto.
Asante
NB: Nilinunua simu mpya baada ya kulipwa hela yangu ya kwanza ya kuuza korosho, lakini nadhani nilifanya maamuzi mabovu, kama kuna mtu anashida na simu mpya anitafute nimuuzie. Ikiwa utaleta mteja basi utapata cha juu na hutakatwa kodi, cash bin cash
Sitaki jina la shangazi muiteni shangazi yenu mary
Baby
Haujib pm zanguuu ujueeeMalizia kbs Maryam.
Hatimae umetoroka eti.?
Jiwe
Hivi jiwe yupo maana naona yupo kimya
Hee..!Haujib pm zanguuu ujueee
Hee..!
Nimejibu zote lbd km nilikua najibu ndotoni
Hilo jina silitaki mm nimeokoka jamani nimezaliwa upyaJiwe
Ujambo dogoHivi jiwe yupo maana naona yupo kimya