marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Hahahaha nafundishia hela
Naomba unikopee hela kwa mdogo akoUna nini eti

Sijambo kabisaa ..Nakuamkiadada ake bonge
![]()
Saivi hatuna helaNaomba unikopee hela kwa mdogo ako![]()
Wakikujibu uniiteKuna vyeo vya aina nyingikawa nani jaman dadaangu
MfyuuuuuuCheo cha kazini uko amekuwa boss
Umbea huooNasikia eti,
Ukipewa niambieNaomba unikopee hela kwa mdogo ako![]()
Habari ya kuadimikaMarahabaa mjukuu mweee
Wanaoteseka wanaofatilia kupitia browserNko hapa
Kuna anaeteseka kwani![]()
Ni wewe wewe nilikuwa nataka nikupe hata buku ya sodaKwani unadhani ni mimi,?
Mama wa mkoa huyo
Uongo sasaMfyuuuu