Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi kweli kakublock kwahiyo kuna kivuli
Hiyo inauma sana au unamtext mtu anasoma hakujibu yaan unampa block tu apambane na hali yake
Hili la moyoni kabisa
Hahaha hahaha
Muongo sana huyo jamaa
Kaniblock ndiwooo...
Kivuli kama chote
Siku kuu tayari, sina hela yaani nalia tuuuu akiii
Bora hata asome asikujibu... Unajikuta tuu siku umeblockiwa bila sababu yoyote
Hizi ni kweli au story za hapa na pale ,
Mambo yenu ya wasap haya eeh, dah ndio maana naogopa sana
 
Hii inaitwa je wajua na kibonge behaviourist!
fahamuzaidi_BwZwXqGANm6.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom