Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ujue kivuli kuna mda simwamini amini
Yaani kama msanii msanii hivi, muongo muongo afu hapo hapo mkweli mkweli ..

Mara kama mshua! Mara kama katoto! Yaani kivuruge tuu! Kama mafuriko ya ilnino..yaani kuvuli ni hakieleweki sio kirefu au kifupi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom