Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
AiseeeKuna muda namuomba Mungu ningelikijua ukiwa tumbomi mwa mama yako.
AiseeeKuna muda namuomba Mungu ningelikijua ukiwa tumbomi mwa mama yako.
Utatamani ujifukieKweli. Ukipenda usipopendwa muziki wake huwa si wa kitoto![]()
Ulimwengu wa peke yako unajikula mwenyewe?Ebu uko niwaacheeee nipo ulimwengu wa peke angu mm
Yako hiyo atakua kakosea kuniquoteHivi ni yangu eeehhhh
Ebu ukoUlimwengu wa peke yako unajikula mwenyewe?
NakataaMm flatscreen bwana utipwatipwa naupataje jamani
Hahaha hahaha hahahaYako hiyo atakua kakosea kuniquote
Sema kweli akiiHahaha hahaha
Umeonaeeee... Utani kumbe watu wanakulana
Nikurushie muamala wa Heineken kidogo? Nimeuza nyanya hivi karibuniWoiiiii niko mzima kabisa



Woooiiiii wooiiiiiiiNiko na mood flani tu na uko nje mvua inapiga sana
Siyo kwamba ningelikujua kabla sijaoa?Kuna muda namuomba Mungu ningelikijua ukiwa tumbomi mwa mama yako.



Naaam, kunwa toto la kitanga kulwa ukulweTena nimeguswa nimegusika
Sasa we mzee unachokataa nnNakataa
Hahahhaha kakosea s zimemchanganyaHahaha hahaha hahaha
Sitaki kuamini kabisaaa jamanii
Ebu rusha fasta we msukumaNikurushie muamala wa Heineken kidogo? Nimeuza nyanya hivi karibuni![]()