Makapuku Forum

Muulize mjomba wako obe.. Chumvi chumvi nimekula hamna hamna nina kontena moja na nusu la chumvi mwilini..

Enzi za franco na tp ok jazz nilikuwa tayar nishaanza kwend disco..

Sent using Jamii Forums mobile app

....nipo mdau mwenzangu wa pande za Sunrise beach, niko mjini na kama kawaida niko namsikiza NC Chaku anatuburudisha kwa show hapa Kontena. Mapema asubuhi maveterani tunakiamsha kutafuta appetite ya kula supu na chapati.
Anway tuyaache haya ya kibinafsi mpwa.

...enzi za Franco mimi tayari nilikuwa nishaanza kutembea na Yondo Sister kila usiku, hizi ni siri zisizo na madhara (unclassified), hapo sijamuongelea Tshala Muana na Mbilia Bell- tuyaache haya kwanza, nikukumbushe kwa bakulutu hii

 

Karibu huku vitambi fc kila jumamosi na jumapili asubuh tunaudananda kama zidane..

Kabla ya kumuoa shemeji yako ilikuwa nimuoe mbilia bell ila tabu ley akanitangulia kidogo, madilu ndio alinifanyia mipango yote mzee mwenzangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Obe
Niliwaamsha wanaolala nafsi 2
kwa mda nilowaamsha bila shaka walikua hoi.
Habari yako.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…