Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Nilishika bombaSeat ulipata???
hhahhaahhh kaka ubora unajielezea wenyewe nikitia maneno yangu itakuwa nakiuka lengo...na yasije yakawa ya mgema
Mie simoo!!!Asante sana![]()
Karibu sana kitaani kwetu
............
Kweli itatuweka huruDharau hizo
![]()
![]()
![]()
.............
Labda wewe kijana.Baadaye msije mkajificha km mbuni
![]()
![]()
![]()
![]()
............
Matajiri mna dharau sanaKweli itatuweka huru
Tunacho ila tumepiga batiKwenu mnacho?
..............
Ubingwa upo mikononi kwa FC BACHA ....Tuombee wapate tu jangaLabda wewe kijana.
Ni sheeeederNilishika bomba
Bure imesababisha wasukuma wajazane ndani ya bus
![]()
![]()
![]()
.........
Mi naganga njaa tuMatajiri mna dharau sana
...........
Droo inawatoshaUbingwa upo mikononi kwa FC BACHA ....Tuombee wapate tu janga
..........
Shemdarling nataka nitoke na wewe leo.Shwari kabisa Shem darling
Wakuu nagonga mnuso(ugali na mlenda + mbilimbi)Droo inawatosha