Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaha, kumbe najazwa tu ,duh ,inawezekana hata ile picha sio kumbe ,sasa umeamini kuwa nadanganywa eeh

MTC | 101|
Wewe endelea kujazwa tu inaonekana huyo mtu wako kuna kazi mmetumana kuhusu mm ole wake nimjue

Mara mtumiane picha mara mdanganyane ninapoishi kwani mnanidaiiii

Unahitaji kitu kuhusu mm niulize mwenyewe kuliko huko vichochoroni mnavyoongopeana na huyo mwenzako

Acha nilale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom