Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaha, sawa ,suruali nyekundu, top ya km maua maua hivi ,..pic background ukuta mweupe

Baadae kdg shangazi ,nimalize kikao na wakubwa hapa

MTC | 101|
Ebu njoo we mzee hiyo suruali imechanwa kidogo na top ni ya singlend eenh halafu nimeshika stick ya camera

Cc Sakayo unaikumbuka hii picha ilee ya nywele za mama makinda ulizokua unanitania sijui nani kaniuza kwa huyu mzee, nyingine ni ipii eti
 
Dah inasikitisha hizi safari za kusafiri za kuchepuka ukipata ajari bora ufe tu kabisa kuliko unusurike kupona

Natamani kujua mchumba ake ilikuwaje alivyosikia wife to be kapata ajari na mchepuko

Nimekuelewa sana baba wawili
Jamaa alivyopigiwa simu kwanza hakuamini,,ila aliuliza swali moja tu kwa mtu aliyempigia simu,,kama ni yeye kweli,,kiunon ana nini??jamaa akaambiwa kiunon ana tattoo ya ishu flan,,bhasi jamaa nasikia akaangusha kilio kuanzia hapo

So sad shangaz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom