Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hahahah![]()
Dunia ya sasa inafaa kujua mambo mengine ya ziada shangaz
Umenishinda baba wawili mm najiuliza tu umezijuajeee
Hahahah![]()
Dunia ya sasa inafaa kujua mambo mengine ya ziada shangaz
Hahahah wew jua tu nazijuaHahahah
Umenishinda baba wawili mm najiuliza tu umezijuajeee


Ebu kuja hapa baba wawili uniambie ujue umenipa maswali mengiHahahah wew jua tu nazijua![]()
Maswali kama yapi shangazi,,uliza moja moja nikujibu hapaEbu kuja hapa baba wawili uniambie ujue umenipa maswali mengi


Ebu niambie baba wawili umejuaje kwanza kuhusu mambo ya nywele za darlingMaswali kama yapi shangazi,,uliza moja moja nikujibu hapa![]()
Habari yako we mzee

Hahahaha, bora wewe umesema mie nilijua nimeona pekee yanguSalama pia shangaz,,,nywele hizo shangaz![]()

HahahaEbu niambie baba wawili umejuaje kwanza kuhusu mambo ya nywele za darling
Hahaha ankoo nmemwambia mapema tu,,hii avatar kibokoHahahaha, bora wewe umesema mie nilijua nimeona pekee yangu
Asee ,shangazi huyu mmmh ,acha tu
MTC | 101|![]()
Hahaha ankoo nmemwambia mapema tu,,hii avatar kiboko
Itaondoka na mtu wallah

Hahhaha we mzee bwana sasa uisave uifanyie nn kwahiyo hii umeipenda kuliko ya Pogba mbona nataka kumrudisha pogbaHahahaha, nzuri Kabisa, nimeipenda hii avatar yako ,naomba nii save shangazi
MTC | 101|![]()
Nimefanyaje tena jamani we mzeeHahahaha, bora wewe umesema mie nilijua nimeona pekee yangu
Asee ,shangazi huyu mmmh ,acha tu
MTC | 101|![]()
Hahhaha we mzee bwana sasa uisave uifanyie nn kwahiyo hii umeipenda kuliko ya Pogba mbona nataka kumrudisha pogba

Wozer hahahahahaHahahaha, asee ,nywele ,mgongo ,rangi ,aaargh acha tu ,naomba iondoke na me Mimi
MTC | 101|![]()
Nimefanyaje tena jamani we mzee

Dah inasikitisha hizi safari za kusafiri za kuchepuka ukipata ajari bora ufe tu kabisa kuliko unusurike kuponaHahaha
Kama nikusapraiz eeh
Hizi nywele za darling nmezijua muda tu,kama 2014 hv,,kuna mdada flani hv alikuwa kama modo kwenye nywele hizo
Picha yake hii hapo chini...
Kitu kilichonifanya nimjue huyu dada pamoja na hzo nywele alizokuwa anatangaza,ni juu ya kifo chake,,huyu dada alifariki kwenye ajari ya gari iliyotokea huko Geita,alipoteza maisha palepale,,,
Ajari yake ilijaa na maswali mengi sana,,kwani huyu dada alikuwa ana ishi Mwanza (Kuna watu wanadai aliwahi kusoma CBE ya Mwanza)huko alikuwa ana mchumba wake,,sasa kipindi anapata ajari hii alimuaga mchumba wake kuwa anaenda Kahama kwa dada kumsalimia kwan siku ya harusi yao ilikuwa imefika,,jamaa akamkubaria pasipo kujua kuwa mchumba wake huyu(modo wa nywele za darling)hakuwa anakwenda Kahama kama alivyoaga bali alikuwa anakwenda Geita kwa mpenzi wake wa siku nyingi(nafikiri alikwenda kupiga show ya mwsho mwsho kabla hajaingia kwenye ndoa rasmi)..bhasi bhna baada ya kwenda huko Geita ndio akapata ajari mbaya ya gari akiwemo yeye mshikaj wake,na couple nyingine ilikuwepo jumla ya waliokuwepo kwenye gari lile walikuwa wanne,,alisalimika jamaa mmoja kama sijasahu vzr,,ila huyu dada (modo wa darling kipind hcho)alipoteza uhai pale pale na jamaa wake(mchepuko wake)
Hili tukio ndio lilinifanya niwe nikikutana na matangazo ya nywele popote pale,,nisome.
Hope umenielewa vyema shangazi!!View attachment 1033538
Wozer hahahahaha
Anko katika ubora wake,ni vyema tu ukaondoka nayo tena bado mapema kabsa

Hahaha ankoo nmemwambia mapema tu,,hii avatar kiboko
Itaondoka na mtu wallah




we mzee bwana unanifurahisha sana
Hahahaha, asee ,nywele ,mgongo ,rangi ,aaargh acha tu ,naomba iondoke na me Mimi
MTC | 101|![]()
Baba wawili hii kuliko ya pogbawe mzee bwana unanifurahisha sana

Hahahaha, uzuri ninazo zote ,ila hii kiboko ,huko wenyewe mnaita 'funika' na imefunika kweli
MTC | 101|![]()




picha za watu unazifanyia nn we mzee mbona sio mm hizo