hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,591
- 73,955
Hahah usinicheke ujue " mwenzio nateseka na huba ujue .... hebu fanya fanya kunipigia pigia pasi hapo " Nitakupoza nina hela za mkopo hapa..zimekosa wakuzichuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah usinicheke ujue " mwenzio nateseka na huba ujue .... hebu fanya fanya kunipigia pigia pasi hapo " Nitakupoza nina hela za mkopo hapa..zimekosa wakuzichuna
Hahaa mmh " jamani Tamu yangu leo hii ndio nimekuwa baba maneno sawa tu wee nione tu " Mungu atanilipia mimi.. wewe sio wakunifanyia hivi unataka moyo wangu uanze kwenda mbio kama miguu ya usein bolt siutaniua mtoto wa mwanamke mwenzio jamani
Sent using Jamii Forums mobile app



unaona sasa ulivo na maneno Baby lakini sinina kupenda " jamani "..... au kukupenda kwangu ni hatia !? Usinifanyie hivyo nina pressure mwenzio utaniua" hahaa
Baby lakini sinina kupenda " jamani "..... au kukupenda kwangu ni hatia !? Usinifanyie hivyo nina pressure mwenzio utaniua" hahaa
Sent using Jamii Forums mobile app



unataka nami nikupende halafu baadae unambie "nilikuwa nakutania
nina baby wangu 
"Hahaha my ribs " huyo baby wangu mwingine ninani sasa zaidi yako ...hivi kweli mimi ninaweza kuwa na jeuri mbele ya ABJ looh thubutu ..ABJ nikama mapigo ya moyo wangu yatakapo acha kupiga basi uhai wangu nao unakuwa wa mashaka ..ndugu na jamaa wajiandae kupokea msibaunataka nami nikupende halafu baadae unambie "nilikuwa nakutania
nina baby wangu
"
Akaa sitaki we akili zako unazijua mwenyewe sitaki aibuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha mxieew.... Baba unamaneno wewee kaahHahaha my ribs " huyo baby wangu mwingine ninani sasa zaidi yako ...hivi kweli mimi ninaweza kuwa na jeuri mbele ya ABJ looh thubutu ..ABJ nikama mapigo ya moyo wangu yatakapo acha kupiga basi uhai wangu nao unakuwa wa mashaka ..ndugu na jamaa wajiandae kupokea msiba



Haha kwahiyo umenisamehe na kunipokea ... huba wangu si-eti ehh !!!
Yaani wewe huwa nakuona huku tuu.
Ulitaka unione wap
Oh samahani sana kama comment yangu imekukwaza. Sikuwa na nia mbaya. Bless up
Rogie huyu ndio anafaa kuwa mke hatembei majukwaa mengine zaidi ya chit chat makapukuhapa ndo kwetu ndo maana unanikuta
Sijakwazika ndg karibu
Shemela ..heshima yako pia ... Aisee nyie wanyaki noma sana " Mtoto mmemlemba lemba hivyo amekuwa anawaka kama mchana " Aise hapo nisipo rudisha majeshi hata shetani atanicheka ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ABJ atakuwa wangapi eti
Rogie huyu ndio anafaa kuwa mke hatembei majukwaa mengine zaidi ya chit chat makapuku
Hahahahah watoto tulizaa lini!?umezurura weee huko wameisha umeamua unikumbuke
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani jamani " haya tutaongea chumbani tukiwa wawili tu ruksa unizodoe unavyotaka ... hapa ukinichamba nitaonekana baba bure. Nisiyeijali family yangu " .. mimi nawewe tumetoka mbali mama watoto jamani usinikatili kiasi hichi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha nakujua wewe ni baba maneno mengi yaani hapa sikuamini hata kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Binamu Obe nakusalimiaHahaa mmh " jamani Tamu yangu leo hii ndio nimekuwa baba maneno sawa tu wee nione tu " Mungu atanilipia mimi.. wewe sio wakunifanyia hivi unataka moyo wangu uanze kwenda mbio kama miguu ya usein bolt siutaniua mtoto wa mwanamke mwenzio jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
We dada mbona WhatsApp kimya ebu kacheke cheke basiMfyuuuu
Hili swali limekuponyoka ama haha haukuwa umetarajia kuniuliza mimi sindio shunie eehh .....Kwahiyo ABJ atakuwa wangapi eti
Hahaa wala umemtafsiri vibaya tu ujue rogie huwa hakwazikagiShunie wee mke nimeogopa tone yake banaa.
Wala halijaniponyoka nimekuuliza wewe tuHili swali limekuponyoka ama haha haukuwa umetarajia kuniuliza mimi sindio shunie eehh .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa wala umemtafsiri vibaya tu ujue rogie huwa hakwazikagi
Dahh naona unataka kuanzisha WW3 ...round hii nitaondoka na kichwa cha mtu aise ...... utamu wa ABJ sinto taka unipite kirahisi mimiBinamu Obe nakusalimia
Sasa jibu si rahisi tu hapo jamani ..atakuwa ndio alfa na omegaWala halijaniponyoka nimekuuliza wewe tu