Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaa mmh " jamani Tamu yangu leo hii ndio nimekuwa baba maneno sawa tu wee nione tu " Mungu atanilipia mimi.. wewe sio wakunifanyia hivi unataka moyo wangu uanze kwenda mbio kama miguu ya usein bolt siutaniua mtoto wa mwanamke mwenzio jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
unaona sasa ulivo na maneno
Ndiyo useme nakuonea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unataka nami nikupende halafu baadae unambie "nilikuwa nakutania nina baby wangu "
Akaa sitaki we akili zako unazijua mwenyewe sitaki aibuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha my ribs " huyo baby wangu mwingine ninani sasa zaidi yako ...hivi kweli mimi ninaweza kuwa na jeuri mbele ya ABJ looh thubutu ..ABJ nikama mapigo ya moyo wangu yatakapo acha kupiga basi uhai wangu nao unakuwa wa mashaka ..ndugu na jamaa wajiandae kupokea msiba
 
Hahaha my ribs " huyo baby wangu mwingine ninani sasa zaidi yako ...hivi kweli mimi ninaweza kuwa na jeuri mbele ya ABJ looh thubutu ..ABJ nikama mapigo ya moyo wangu yatakapo acha kupiga basi uhai wangu nao unakuwa wa mashaka ..ndugu na jamaa wajiandae kupokea msiba
Hahahahaha mxieew.... Baba unamaneno wewee kaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah watoto tulizaa lini!?umezurura weee huko wameisha umeamua unikumbuke

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani jamani " haya tutaongea chumbani tukiwa wawili tu ruksa unizodoe unavyotaka ... hapa ukinichamba nitaonekana baba bure. Nisiyeijali family yangu " .. mimi nawewe tumetoka mbali mama watoto jamani usinikatili kiasi hichi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha nakujua wewe ni baba maneno mengi yaani hapa sikuamini hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa mmh " jamani Tamu yangu leo hii ndio nimekuwa baba maneno sawa tu wee nione tu " Mungu atanilipia mimi.. wewe sio wakunifanyia hivi unataka moyo wangu uanze kwenda mbio kama miguu ya usein bolt siutaniua mtoto wa mwanamke mwenzio jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Binamu Obe nakusalimia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom