Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anhaa ndo unajitetea ee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mamy " mimi kwako huwa sithubutu kuuruhusu ulimi wangu ukutamkie uwongo " siunajua vile ambavyo kwako nimpofu wa penzi lako " so naanzia wapi kuwa na tabia mbaya kama hiyo mimi ..naanzaje kumuongopea mwanamke nimpendae chini ya hili jua

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom