Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahah watoto tulizaa lini!?umezurura weee huko wameisha umeamua unikumbuke

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani jamani " haya tutaongea chumbani tukiwa wawili tu ruksa unizodoe unavyotaka ... hapa ukinichamba nitaonekana baba bure. Nisiyeijali family yangu " .. mimi nawewe tumetoka mbali mama watoto jamani usinikatili kiasi hichi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani jamani " haya tutaongea chumbani tukiwa wawili tu ruksa unizodoe unavyotaka ... hapa ukinichamba nitaonekana baba bure. Nisiyeijali family yangu " .. mimi nawewe tumetoka mbali mama watoto jamani usinikatili kiasi hichi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha nakujua wewe ni baba maneno mengi yaani hapa sikuamini hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahaha nakujua wewe ni baba maneno mengi yaani hapa sikuamini hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa mmh " jamani Tamu yangu leo hii ndio nimekuwa baba maneno sawa tu wee nione tu " Mungu atanilipia mimi.. wewe sio wakunifanyia hivi unataka moyo wangu uanze kwenda mbio kama miguu ya usein bolt siutaniua mtoto wa mwanamke mwenzio jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom