Makapuku Forum

Msambwanda sina jamani
 
Nimecheka sana huo mfano ulioutoa hapo juu,,huyu Shunie hzo sifa ulizotaja hapo anazo,chek avatar tu hyo bro,,rangi ya mtume,chura ya kufikia tu hapo
 
Raha sana kuyaangalia mamisambwanda. Hata kama una kihoma na mafua home limsambwanda la waifu likipita unapatapo kaunafuu. Na wanawake wengi wenye mamisambwanda na wanene kidogo huwaga wapole sana kinyume na vimbaumbau...
Si kama Shunie bro,,ushawahi kuona yupo na neno na mtu??hasira zote zmejikusanya kwenye chura
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…