Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Msambwanda sina jamaniKuna sister ni cheupe halafu toli tulipiga ng'ombe 75 tena wa kujichagulia. Mwenyewe familia moja hivi ya kishua koko wakataka kunipiga ng'ombe 49 nikachomoa aisee. Ila mwanamke akiwa mweupe, toli halafu ana msambwanda kama Shunie hivi aisee ni hatari. Hata hati za mashamba ya urithi natoa aisee
Mm ni cheupe ndio ila chura sinaKama ni wewe huyo basi ni cheupe. Chura ndo nini bana? Msukuma hapo kwisha habari yake
Nimecheka sana huo mfano ulioutoa hapo juu,,huyu Shunie hzo sifa ulizotaja hapo anazo,chek avatar tu hyo bro,,rangi ya mtume,chura ya kufikia tu hapoKuna sister ni cheupe halafu toli tulipiga ng'ombe 75 tena wa kujichagulia. Mwenyewe familia moja hivi ya kishua koko wakataka kunipiga ng'ombe 49 nikachomoa aisee. Ila mwanamke akiwa mweupe, toli halafu ana msambwanda kama Shunie hivi aisee ni hatari. Hata hati za mashamba ya urithi natoa aisee
Mambo yako hayo
We baba wawili si nawekaga picha zangu hapa chura anatoka wapiNimecheka sana huo mfano ulioutoa hapo juu,,huyu Shunie hzo sifa ulizotaja hapo anazo,chek avatar tu hyo bro,,rangi ya mtume,chura ya kufikia tu hapo
Mm ni cheupe ndio ila chura sina
Kakorofi sana kale. Acha kateseke ili kajifunze. Tena naliomba hilo jamaa lisiwe na huruma likakunje sawasawa kipigo cha mbwa koko mpaka kawe kapole
Sijafungasha jamani. Shunie bana....Si ajabu ukikutana naye kafungasha balaa....
Chura si huwa umeikalia shangazWe baba wawili si nawekaga picha zangu hapa chura anatoka wapi
Raha sana kuyaangalia mamisambwanda. Hata kama una kihoma na mafua home limsambwanda la waifu likipita unapatapo kaunafuu. Na wanawake wengi wenye mamisambwanda na wanene kidogo huwaga wapole sana kinyume na vimbaumbau...Mambo yako hayo
Nakuja huku kutafuta kondoo waliopotea warudi kundiniHahahah unafikiri ulokole jambo la mchezo, ulokole ukashinde jukwaa la dini na intelligence sio eti nimeokoka ushinde mmu na chit chat
Si kama Shunie bro,,ushawahi kuona yupo na neno na mtu??hasira zote zmejikusanya kwenye churaRaha sana kuyaangalia mamisambwanda. Hata kama una kihoma na mafua home limsambwanda la waifu likipita unapatapo kaunafuu. Na wanawake wengi wenye mamisambwanda na wanene kidogo huwaga wapole sana kinyume na vimbaumbau...
Chura wangu ananitosha mwenyewe na mwili wangu tu sio wa kushangaliwa na watuChura si huwa umeikalia shangaz,hlf ujue chura haijifich,,hyo avatar tu hapo inaonesha kuna mzigo umeukalia
Woiiiiii sisi vimbaumbau ujumbe huu unatuumizaRaha sana kuyaangalia mamisambwanda. Hata kama una kihoma na mafua home limsambwanda la waifu likipita unapatapo kaunafuu. Na wanawake wengi wenye mamisambwanda na wanene kidogo huwaga wapole sana kinyume na vimbaumbau...
Haya endelea kuwatafutaNakuja huku kutafuta kondoo waliopotea warudi kundini
WoiiiiiChura wangu ananitosha mwenyewe na mwili wangu tu sio wa kushangaliwa na watu
We hutaki?Haya endelea kuwatafuta
Sitaki ndio tena kwa kulazimishwaWe hutaki?