Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Aisee,,halaf huu ni kama ugonjwa,ukianza tatoo moja,lazima uongeze na nyingine,Eti baba wawili ni kweli mna ugonjwa wa akili![]()
![]()
Aisee,,halaf huu ni kama ugonjwa,ukianza tatoo moja,lazima uongeze na nyingine,Eti baba wawili ni kweli mna ugonjwa wa akili![]()
![]()
Wala sikijui baba wawiliEeh wapo tofauti shangaz,unakijua kinyaturu eeh
Kwani we hauna kabisa baba wawiliAisee,,halaf huu ni kama ugonjwa,ukianza tatoo moja,lazima uongeze na nyingine,
Hapana,sina na sijawahi kufikilia kuweka michoro hyo kwenye ngozi yangu,,,Kwani we hauna kabisa baba wawili
Wanaume mliwowa na pete zenu kuna ukweli eti![]()


Marahaba toto mzima wewe


Burudika muda huu mdau wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo

...mimi ninavaaga pete ya bahati, zile za kinaijeria, wakifanya utafiti niulize nikupe majibu
...mimi ninavaaga pete ya bahati, zile za kinaijeria, wakifanya utafiti niulize nikupe majibu

Naanzaje kuachika kifwala binamu
Haachiki mtu![]()
![]()
![]()
![]()
