Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Binamu kwani hizi habari ni kweli nimekuta kwenye group mtu ameirusha...aina nyingine ya ujinga na ulevi wa madaraka!
Kwa sisi tunaotumika usiku tukose mawasiliano?
BTW, hizi kampuni zinatengeneza faida kwa kufanya kazi/huduma za mawasiliano, wengine tuna biashara za mtandaoni na kodi tunalipa, huku ni kufisha biashara



