Sema polepole baba wawili kaachwa na behaviourist msababishi mkuu
Duh,,kamati ya roho mbayaBaba wawili hawezi kutembea na Mama yangu huku naona!!
HahaUlichokitaka kimekuwa fanya sherehe sasa
Sijapotea mimi jmn,
Mambo mengi January yenyewe ipo 3 bc tafran..mzima lkn ww habari ya dodoma,?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha obe ananiambia kwamba unasimamia mradi wa furai ova kweli au
Nilikua bize na shemeji yako Prince,Itakua kweli si kwa kimya kile
Hahahah aiseeAhahah haiwezekani tena mwanangu wa pekee sawa eh? Kua na amani mama sasa hatokuangusha
Toka mwaka uanze,,,acha tu kuna kijana wake hapa na madame aliweka kamati kabsa,kamati ya roho mbaya
Toka mwaka uanze,,,acha tu kuna kijana wake hapa na madame aliweka kamati kabsa,kamati ya roho mbaya
Sasa hv nataka niwe mjomba sasa