Ntakuita mahali husika Aunt yangu mzuri mzuri,Hapana watu wawili tofauti ndio mana wako dini tofauti
Kwakweli uzee uishie huko ulipoUnaanzaje kuzeeka shangazi yako yupo
Nimelala sk 2Ebu kalale babe tutaonana kesho eeenh mtoto wangu mzuri mzuri
Dada mkubwa kbs (kwa sauti ya shangazi )nakusalimia dadaUsijali
Mie nipo, usiku mwema mamii
Mamaa
Mamaaunaijua hadithi ya nani atamfunga paka kengele,?
Nakunywa chai karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wote mpaka Shangazi hatukupendi!Salam zenu kapuku nawapenda mimimuwe na asubuhi njema na mwanzo wa wikiendi mwema pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu nivueni nifanye sherehe
Eenh siku mbili
Obe kawa anko wake leo
Hahhaha ndio utulie hapo sawa toto
Hahaha shangazi yupo lkn
Kwema baba wawili za weweKwema shangaz
Najua huniangushagi baba wawiliHahahahaha kitchen party inatolewa naona
Yule mwenye ramli chonganishi hawezi sasa kutuchonganisha wote familia mojaaisee