Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Toto pendwa ya shangazi!



Jaman,,kwa hyo sasa hv unatutangaza baada ya kupigwa vibuti eeh


Jaman,,kwa hyo sasa hv unatutangaza baada ya kupigwa vibuti eeh
Toto pendwa ya shangazi!![]()
We si ndio unataka kufungiwa na majimama ya huko Congo kwako
Niliona siasani huko mtu kakuquote
Bado ipo njiani eenh baba wawilisawa sawa shangaz
Hahhaha kwani kafurahia hapoKijana una roho mbaya mbaya sana,sasa unafurahia baada ya kupigwa kibuti eeh
Whats comes around goes around hahah
Ebu niambie we mzee unatamani ufungiwe na nani etiHahahaha, hapana mie natamani nifungiwe na.......
Ya kule yaache tu, ila ungemjibu shangazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, naogopa kutaja ninaye natamani anifungieEbu niambie we mzee unatamani ufungiwe na nani eti
Sasa mm namjibu nakujuaje jamani kama ndio kabila kweli mm sijui
Unaogopa tena kutaja shauri yako we kufa na tai shingoniHahahaha, naogopa kutaja ninaye natamani anifungie
Hahaha, we ungemjibu tu unavyojua kwa niaba yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, naogopa kumtaja kumbe hajaridhia kutajwa na mm ikawa ugomviUnaogopa tena kutaja shauri yako we kufa na tai shingoni
Sasa ningemjibu uongo haya namjibu wewe sio kabila kumbe kabila kweli
Hivi leo mnaapisha rais
He he we mzee endelea kufa na tai yako shingoniHahahaha, naogopa kumtaja kumbe hajaridhia kutajwa na mm ikawa ugomvi
Ataapishwa tu usijari, muhimu ilikua kuthibitishwa na mahakama ,baada ya ile kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
He he we mzee endelea kufa na tai yako shingoni
Kwahiyo mahakama imeshamridhia au na pingamizi la kanisa catholic je
Huyo kwenye avatar si ndio kampitisha mshkaji wake nasikia wanamakubaliano yao hivi mm na haya mambo wapi na wapi lakiniHahahaha, Shunie ujue....
Mahakama tayari imeridhia ,deal done ,Felix rais kuapishwa kesho
Huyo kwrny avatar atakua bado na cheo Fulani hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Congo ina mengi!Huyo kwenye avatar si ndio kampitisha mshkaji wake nasikia wanamakubaliano yao hivi mm na haya mambo wapi na wapi lakini








Hahahaha, kila uko vzr mbn ktk haya mambo mpk umenivutia ,napenda mdada wa hiviHuyo kwenye avatar si ndio kampitisha mshkaji wake nasikia wanamakubaliano yao hivi mm na haya mambo wapi na wapi lakini
Mfyuuuu ebu uko usinifanye nileft jf na hizo mambo zako unazoniletea
Mfyuuuu ebu uko usinifanye nileft jf na hizo mambo zako unazoniletea
Hahhaha eti nipo vizuri mpaka nimekuvutiaHahahaha, kila uko vzr mbn ktk haya mambo mpk umenivutia ,napenda mdada wa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app