ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
...nilijua tu, huwezi kuwa wewe, sasa ili kuzuia wasihack hebu badili cover maana cover la simu yako halijulikani ni la rangi gani



Sent using Jamii Forums mobile app
...nilijua tu, huwezi kuwa wewe, sasa ili kuzuia wasihack hebu badili cover maana cover la simu yako halijulikani ni la rangi gani



Hahahhaha hivi binamu anaweza kulala pale kweli na maubahili yake
Hahahahahha aisee...hujakosea, ndo hapo hapo, nilipita kwa nje nikiwa naelekea makoroboi jirani na tanesco mkoa kwenda kukamata epress za kunipeleka Igoma Shamaliwa
Hahahaa kweli binamu,,na wakat ndio huu,,mwaka mpya naanza na cover mpya...nilijua tu, huwezi kuwa wewe, sasa ili kuzuia wasihack hebu badili cover maana cover la simu yako halijulikani ni la rangi gani
Hahahhaa hilo sina uhakika shangaz,,kuna kipind huwa anajitoa ufahamu anafanya mambo makubwa,,kama hayo ya kumvsha ABJ machen ya dhahabu
Sent using Jamii Forums mobile app



umeyaona wapii
Basi binamu nilijua umelala hapo...hujakosea, ndo hapo hapo, nilipita kwa nje nikiwa naelekea makoroboi jirani na tanesco mkoa kwenda kukamata epress za kunipeleka Igoma Shamaliwa
Hahhahaha...nilijua tu, huwezi kuwa wewe, sasa ili kuzuia wasihack hebu badili cover maana cover la simu yako halijulikani ni la rangi gani







Hivi hayo macheni baba wawili ni ukweliHahahhaa hilo sina uhakika shangaz,,kuna kipind huwa anajitoa ufahamu anafanya mambo makubwa,,kama hayo ya kumvsha ABJ machen ya dhahabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaha nacheka mmShingoni na mikononi, kiunoni aendelee kuvaa shanga za kimasai ili machejo yawepo, akivaa cheni ya gold kiunoni ataogopa kujituma itakatika. Sasa hizi za kimasai zikikatika anainama kuziokota (sio chumamboga tena bali operesheni okota utunda)
Njia ndio hizo hizo baba wawili
Eeenh
Hahahhaa hilo sina uhakika shangaz,,kuna kipind huwa anajitoa ufahamu anafanya mambo makubwa,,kama hayo ya kumvsha ABJ machen ya dhahabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha yaani unaturuka wahusika unaenda kumuuliza mwingine jamaniHivi hayo macheni baba wawili ni ukweli
...yaani nikilipwa watu watashangaa sana, ABJ atapendeza na ukimuangalia utaisahau telemundo ufikiri unaangalia tamthilia ya Sultan, maana sio kwa midhahabu hiyo. Mwili utachafuka dhahabu utadhani pilau la nyumba ndogo, mchele nusu nazi robo nyama kilo nne, nyanya kitalu kizima cha dabaga



yawe ya kweli lakini hayaa Shingoni na mikononi, kiunoni aendelee kuvaa shanga za kimasai ili machejo yawepo, akivaa cheni ya gold kiunoni ataogopa kujituma itakatika. Sasa hizi za kimasai zikikatika anainama kuziokota (sio chumamboga tena bali operesheni okota utunda)




kaah