Makapuku Forum

Makapuku Forum

Basi binamu nilijua umelala hapo

...siwezagi kulala kwenye ghorofa, nina kiungalia mwenzenu, nilienda kulala guest moja mtaa wa Uhuru jirani na polisi, nililipa hela nyingi sana, eti kulala tu unatoa 10,000/= nilikasirika sana ikabidi nimtongoze muhudumu (alikuwa mdada) maana hii hela nyingi sana kulala burebure
 
...yaani nikilipwa watu watashangaa sana, ABJ atapendeza na ukimuangalia utaisahau telemundo ufikiri unaangalia tamthilia ya Sultan, maana sio kwa midhahabu hiyo. Mwili utachafuka dhahabu utadhani pilau la nyumba ndogo, mchele nusu nazi robo nyama kilo nne, nyanya kitalu kizima cha dabaga
Hahahahahahaha binamu mpo wangapi hapo duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...yaani nikilipwa watu watashangaa sana, ABJ atapendeza na ukimuangalia utaisahau telemundo ufikiri unaangalia tamthilia ya Sultan, maana sio kwa midhahabu hiyo. Mwili utachafuka dhahabu utadhani pilau la nyumba ndogo, mchele nusu nazi robo nyama kilo nne, nyanya kitalu kizima cha dabaga
Sema kweli binamu
 
...siwezagi kulala kwenye ghorofa, nina kiungalia mwenzenu, nilienda kulala guest moja mtaa wa Uhuru jirani na polisi, nililipa hela nyingi sana, eti kulala tu unatoa 10,000/= nilikasirika sana ikabidi nimtongoze muhudumu (alikuwa mdada) maana hii hela nyingi sana kulala burebure
Hahhahaha sio huwezi kulala ghorofani huwezi kulipa na maubahili yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom