ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Hahaha aise,panaitwa hvyo hvyo ndioHahhaha atakua gold crest baba wawili ndio panaitwa hivi
Dhahabu anakuwa anavaa wapi binamu...sijalipwa bado, ila ninaenda Geita kukuangalizia dhahabu, nikilipwa tu nananunua mzigo kwa ajili yako
Piga ana ana do mama
Hahhahaha...sikuja kimyakimya, yaani labda hukusikia tu, pale stesheni walijaa watu kunipokea, watu kibao nadhani wengine walikuja kupokea ndugu zao toka Mpanda maana mimi nilitokea Mtwara.
Ilibidi nije natreni ndo maana ulisikia makelele, ningelipwa ningekuja na bombadia
Vipiii wewe
Mhhh ...mvumilivu hula mbivu acha niwe mvumilivu tu...sijalipwa bado, ila ninaenda Geita kukuangalizia dhahabu, nikilipwa tu nananunua mzigo kwa ajili yako
Ukiita wanahabari binamu usisahau kunipa taarifa...acha tu aunt, niliona anavyoniua, mimi huwa sichafui jina lake hata kidogo ila yeye na anko wangu ndo mabingwa. Mwaka 2019 nitaita wanahabari nitoe tamko kuhusu hili suala
Four angle halafu juu umevaa na nn binamu
Ushabadili gear baba wawili
Hahahaha sawa sawa binamu,,karbu sana kwenye jiji la shangaz(jiji la jiwe)...sikuja kimyakimya, yaani labda hukusikia tu, pale stesheni walijaa watu kunipokea, watu kibao nadhani wengine walikuja kupokea ndugu zao toka Mpanda maana mimi nilitokea Mtwara.
Ilibidi nije natreni ndo maana ulisikia makelele, ningelipwa ningekuja na bombadia
Hahahhaha hivi binamu anaweza kulala pale kweli na maubahili yake
Hahhaha yaani navuta picha kama nakuona ulivyovaa suruali ya mstaafu...nilitupia kitu cha nuvu sana, nilivaa tshirt form six na suruali kama mstaafu anayefurahia kikokotoo. Kifupi nilipendeza sana, nikienda studio kusafisha picha nitakutumia hapa uone nilivyobamba (ila negative ikiungua basi ndo nakosa kumbukumbu ya mwanza)
Hahhaha atakua gold crest baba wawili ndio panaitwa hivi