ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Hahhaha yaani wewe baba wawili ni kivurugeeee upo huku na huku


mi nipo njia pandaSent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha yaani wewe baba wawili ni kivurugeeee upo huku na huku


mi nipo njia pandaUskute keshalipwa pesa zake za koroshoHahahhahahahaha binamu wewe unafanya nn huko
Tatzo binamu anakuja kimya kmya,,,acha apambane na hali yake kwanzaEbu tafutana na binamu na we si upo huko baba wawili



Duh,,binamu kumbe ndio ww uliyekuwa unapiga picha mchana pale kwenye sanamu la samaki linalotoa maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahaa sasa mbona jana ulimuua binamu kuwa ujana wake ale na naniHahaha nipo kwa ajiri ya kumtetea dada angu,,unamkosesha raha sasa kuna kpnd ulimfanyia teuzi bla taarfa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha njia panda ya nn
Hahhaha atakua gold crest baba wawili ndio panaitwa hivi
Hahhaha binamu hatoi taarifa kabisaTatzo binamu anakuja kimya kmya,,,acha apambane na hali yake kwanza
Msumbufu sana huyu,,,atataka mizigo yote amiliki yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaha bundle la wasiwasiMuziki: 2018 Ilikuwa Nzuri
Ninaandika kukushukuru wewe mdau wa Jukwaa hili ambaye kila wakati sichoki kukwambia kuwa unalifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kabisa kuwepo. Ni kutokana na wewe, yes, wewe unayesoma sasa, MF imekuwa ni sehemu ya kipekee katika JF. Nimeweza kuelimika na kujifunza mengi kupitia wewe, ninaamini nami nimekuwa na mchango kiasi kwako, maana maarifa/kujifunza ni 2way trafiki.
Nakushukuru sana Lyon Lee , Shunie , Tumosa , Transcend , SHIMBA YA BUYENZE , BlessedHope (mama yenu huyu na ninampenda sana), Mndali ndanyelakakomu , Tetramelyz , Clkey , shululu , The Book , Da'Vinci , husna muba , Nyagei mtaasisi mwenzangu, Bitoz , Jimena , ningendako , demi , Sakayo , ABJ , Mtoto halali na hela , Mussolin5 marybaby , Madame S , capitalpool , dingimtoto , hearly , Wick , Malcom Lumumba na wewe ambaye nimesahau kukutaja lakini unajijua kuwa umekuwa sehemu nzuri ya kunifunza, kunirekebisha na zaidi kulifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo. Ninaamini kiuhakika sisi ni marafiki ambao hatujakutana.
Muziki sasa, nakumbuka wakati naanza kuandikia kipengele cha muziki ( baadaye niliandika kipengele cha kisiasa Tafasiri Unavyoweza) nilisema napenda muziki wenye gitaa na si kinanda pekee, hapa niliweka kina Kalala Hamza, Mabela, Ray Vaughan, BB King, Jimi H, Santana, Franco Luambo, Buddy Guy, Tracy Chapman na wengine wengi. Nyimbo nyingine uliziomba wewe na ulijua kabisa mimi ni kijana mwenye mambo ya kizee sababu ya aina ya muziki nilioanza kuweka hapa, Jazz, Blues na Afro. Burudika na hizi ambazo zilibamba humu na hii ni kwa sababu wewe umekuwa na msaada kwangu. Asante na nikuambie tu ulikuwa mtu muhimu 2018 na ninaamini tutaendelea kuwa binadamu 2019
Love
Obe
NB: Ninajaribu kumaliza bundle langu kwa hiyo kama bundle lako ni la wasiwasi basi nakutakia mwaka mpya mwema
Four angle halafu juu umevaa na nn binamu...ndiye mimi bhana, uliona kile kiatu four angle nilichokuwa nimevaa au ulibaki kushangaa tu kamera yangu mpya Panasonic?
Tatzo binamu anakuja kimya kmya,,,acha apambane na hali yake kwanza
Msumbufu sana huyu,,,atataka mizigo yote amiliki yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
...ndiye mimi bhana, uliona kile kiatu four angle nilichokuwa nimevaa au ulibaki kushangaa tu kamera yangu mpya Panasonic?



ile four angle hatar sana binamuHahahhahaa sasa mbona jana ulimuua binamu kuwa ujana wake ale na nani
Mizigo ipi jiraniTatzo binamu anakuja kimya kmya,,,acha apambane na hali yake kwanza
Msumbufu sana huyu,,,atataka mizigo yote amiliki yeye
Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna mtu ali hack account yangu janaHahahhahaa sasa mbona jana ulimuua binamu kuwa ujana wake ale na nani


