Hivi bado umetekwa tuSikukuu ilikua poa cousin, tunajiandaa mwaka mupya!..
Nasikia ulipotea na wewe humu!
HahhaahahahahNikilipwa hela zangu nakununulia dhahabu za gold na diamond (siyo huyu wa Nyege-zi)
UncleeeeeeeCousin habari za siku nyingi na heri ya sikukuu.
mpaka mwaka mupya hivi!..Hivi bado umetekwa tu
Unanitafuta eeHuu ndiyo muda muafaka wa kumwambia Shangazi ile tabia yako mbaya!!![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikilipwa hela zangu nakununulia dhahabu za gold na diamond (siyo huyu wa Nyege-zi)


mfyuu
Jamani kwa nn lakiniiimpaka mwaka mupya hivi!..
Mambo vipi shunieUncleeeeeee
Hahahahaha, nimecheka kwa nguvu sana leo. Swahiba mzima wewe ?Jamaa kakimbia Tanga akiwa amevaa khanga yenye maandishi "Utarudi Tu, Unacheza na Budubudu!"
Sa' hiyo Budubudu sijui ndo kitu gani!!!
Mweeeh uncle umeanza na mambo ili nisikupe shikamooMambo vipi shunie
cousin nilikuwa nauguza bwanaSikukuu ilikua poa cousin, tunajiandaa mwaka mupya!..
Nasikia ulipotea na wewe humu!
ugonjwa ndiyo uliniteka bwanaMweeeh uncle umeanza na mambo ili nisikupe shikamoo
Nani na wewe alikuteka jamani
Jamani pole mnoo uncle unaendeleaje sasaugonjwa ndiyo uliniteka bwana
Naendelea vizuri shunie wangu, hadi naweza kuingia JF vizuri sasa.Jamani pole mnoo uncle unaendeleaje sasa
Mungu azidi kukuponya sana uncle wangu jamaniiNaendelea vizuri shunie wangu, hadi naweza kuingia JF vizuri sasa.
Ahsante sanaa mpwa
Amen Shunie, nipone tu sasa maana nisipowaona moyo wangu huwa unasinyaaMungu azidi kukuponya sana uncle wangu jamanii
Mungu atakuponya uncle upo kwenye maombi yanguAmen Shunie, nipone tu sasa maana nisipowaona moyo wangu huwa unasinyaa


urudi kama zamani