Naona sikukuu hizi mmetekwa
Mhhhhhh yaani siyo kwakutekana huko jamanEndeleeni kutekana tu


Huu ndiyo muda muafaka wa kumwambia Shangazi ile tabia yako mbaya!!


Cousin habari za siku nyingi na heri ya sikukuu.cuzo Malcom Lumumba where are you!?.. im lookin for yah!.
Nikilipwa hela zangu nakununulia dhahabu za gold na diamond (siyo huyu wa Nyege-zi)
Sikukuu ilikua poa cousin, tunajiandaa mwaka mupya!..Cousin habari za siku nyingi na heri ya sikukuu.
Hivi binamu kwanini lakini kila ninapomgusia binamu Shadeeya tu, basi lazima uchomekee tujungu fulani?! Sisi ni watoto wa mjomba na shangazi binamu...kupeana raha ni ibada, na kufanyiana husuda ni karaha, yenye kuleta balaa!Mm huyo jamaniii
Sijaona binamu... chit-chat kwenyewe naendaga kwa kupotea njia tu binamu!Bday yangu kaka chige haujaona thread chit chat
Jamaa kakimbia Tanga akiwa amevaa khanga yenye maandishi "Utarudi Tu, Unacheza na Budubudu!"Cousin habari za siku nyingi na heri ya sikukuu.
Baba wawili huyoooo
Miss u too prince upooooJiwe nimekumis ujue.
Hatujambo dogo mzima weweNawasalimu makapuku wenzangu hamjambo.
Najua majukwaa yako kaka chigeSijaona binamu... chit-chat kwenyewe naendaga kwa kupotea njia tu binamu!