Basi sawa....Asante mkuu
Basi sawa....Asante mkuu
HayaBasi sawa....
Niitie binamu yangu Shunie basi!!Haya
AnakuaAmelala mkuu
EwaaaaaAnakua
Uko poa lakiniEwaaaaa
Niko gudUko poa lakini
Niko poa kabisaNiko gud
Vipi wewe jamani
Dah! Da' Sakayo, mi nadhani hangover bado hazijaisha... siku njema bhana manake kila nikisoma eti naona kuna mahali "w" imesahaulika!Amelala mkuu
Sawa mkuuDah! Da' Sakayo, mi nadhani hangover bado hazijaisha... siku njema bhana manake kila nikisoma eti naona kuna mahali "w" imesahaulika!
We binamu Shunie, tafadhali usilale sana, shemeji Wick anakusubiri huku!! Ila msema kweli mpenzi wa Mungu bhana... kwenye hilo neno kati ya tafadhali na sana, imebidi kwenye silabi ya mwisho niichomoe "w" ambayo, wallahi tena, naamini ilistahili kabisaaaaaaaa kuwepo!!!!
Da' Sakayo baadae, ngoja nikamalizie supu yangu ya makongoro!!!
Mungu ni mwaminifu kwa kweeliNiko poa kabisa
Nimefurahi kuchelewa kulala kumbe mtoto shunie anazaliwaMungu ni mwaminifu kwa kweeli
NdioNimefurahi kuchelewa kulala kumbe mtoto shunie anazaliwa
Ah! Kumbe wewe ni dadake binamu Shunie?! Au ndo yule ambae kila siku binamu yangu alikuwa ananisimulia? Sasa kama huyu binamu ni dada yako, basi nawe ni binamu yangu!Uuuwiiii. Dada umeanza. 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Mimi ni Dadake ndio. Ila sina hakika kama alikuwa anakusimulia kuhusu mimi. 😂😂Ah! Kumbe wewe ni dadake binamu Shunie?! Au ndo yule ambae kila siku binamu yangu alikuwa ananisimulia? Sasa kama huyu binamu ni dada yako, basi nawe ni binamu yangu!
Habari binamu!!!!
Dah! Kweli Mungu mkubwa, yaani kanikutanisha na binamu yangu mwingine!!! Ila alikuwa ananisimulia kuhusu wewe bhana, lakini si unajua binamu Shunie na kale kapengo kake?? Sasa badala ya kukuita Shadiiya, yeye alikuwa anasema Shaida, lakini ndo wewe wewe tu binamu yangu!!!Mimi ni Dadake ndio. Ila sina hakika kama alikuwa anakusimulia kuhusu mimi. 😂😂
Habari ni nzuri tu binamu. Nimefurahi kukufahamu binamu.
Hahahaa. Haya binamu nimefurahi kukufahamu. Uwe na siku njema.Dah! Kweli Mungu mkubwa, yaani kanikutanisha na binamu yangu mwingine!!! Ila alikuwa ananisimulia kuhusu wewe bhana, lakini si unajua binamu Shunie na kale kapengo kake?? Sasa badala ya kukuita Shadiiya, yeye alikuwa anasema Shaida, lakini ndo wewe wewe tu binamu yangu!!!
Basi sawa binamu, msalimie shangazi!!!Hahahaa. Haya binamu nimefurahi kukufahamu. Uwe na siku njema.