Hahahaa. Kwangu tu umepata Dada. Yaani ntakukumbusha mwenyewe.
Hahhaa sitaki kuaminiii upo online mda huuKwa ndugu yangu huyo nakubali kabisa hili ni deni kwangu.![]()
Ndiwoooo alipe tu jamaniNa dawa ya deni kulipa😀😀😀
dawa yenu kuhamia bukoba tu!..hakuna namnaHahhahh tuna hatare sana
Hahaha ebu niambie dada hauko chooni kweliHahahaa. Kwangu tu umepata Dada. Yaani ntakukumbusha mwenyewe.
Bukoba kuna nn uko babedawa yenu kuhamia bukoba tu!..hakuna namna
Cheka mwenyewee
Haya haya haya hayaaaaaah ...unakimbiaaaa kojo unakanyagaa jiviiiiii ...samakiii na maharage yaletweBukoba kuna nn uko babe
Dada wanijua. Sikukuu hiyo. Nipo Mtaani huku kwa ndugu huku hivyo nikaona nichungulie kidogo japo nakaribia kutokamo. 😂😂😂😂Hahhaa sitaki kuaminiii upo online mda huu
kumbe tumepotea wengi humu..Jamani na anko wangu nae alipotea ujue akija uniite
Uuuwiiii. Dada umeanza. 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Hahaha ebu niambie dada hauko chooni kweli
Acha nicheke tu hakuna namnaCheka mwenyewee
Haya haya haya hayaaaaaah ...unakimbiaaaa kojo unakanyagaa jiviiiiii ...samakiii na maharage yaletwe










sio wa bukoba huyooo mnyantuzu kutoka mwanza
Hahhhahaha nilijua tu mm sio kawaida hii kuwa online mda huuDada wanijua. Sikukuu hiyo. Nipo Mtaani huku kwa ndugu huku hivyo nikaona nichungulie kidogo japo nakaribia kutokamo.![]()
Sanaaaa jamani ulipotea naokumbe tumepotea wengi humu..