Makapuku Forum

Makapuku Forum

We umefikiria nini eti
Bhana mi wala sielewi elewi yaani! Sometimes akili inaniambia umemaanisha "ulale" mara pindu, akili ina-change gia angani na kuniaminisha eti ulimaanisha "akulale!" Hivi ulisema NILALE vile, au?!

Eti binamu Shunie, ile siku ulivyoniambia "haya binamu, nilale basi" halafu nikakimbia, hivi ulimaanisha nini?! Anyway, sio issue lakini... ngoja nimalizie makongoro yangu hapa labda akili itakaa sawa!
 
Bhana mi wala sielewi elewi yaani! Sometimes akili inaniambia umemaanisha "ulale" mara pindu, akili ina-change gia angani na kuniaminisha eti ulimaanisha "akulale!" Hivi ulisema NILALE vile, au?!

Eti binamu Shunie, ile siku ulivyoniambia "haya binamu, nilale basi" halafu nikakimbia, hivi ulimaanisha nini?! Anyway, sio issue lakini... ngoja nimalizie makongoro yangu hapa labda akili itakaa sawa!
Mmmh
Acha kuwaza mambo ya kulala na sa hizi... Sikumaanisha unachowaza!
 
Mmmh
Acha kuwaza mambo ya kulala na sa hizi... Sikumaanisha unachowaza!
Halafu unadhani nafikiria mambo ya kulalana basi... bia za mialiko hizi Da' Sakayo!! Bia krate moja, nyama mishikaki miwili ya mia mia kwa Mangi... wapi na wapi!
 
Hahaaa! Huyu jamaa kapewa kibarua na JWTZ na yupo kwenye timu ya Tokomeza Kangomba Kusini, kwa kifupi TKK!!! Asiporudi anavaa msuli huko, sio mimi! Chezea Kondez wewe!!! We fanya booking ya suruali zake tu manake hazitakuwa na kazi tena!!
Hahahh!!..
Kama nakuona vile unavyotoka nduki huku ukiwa umevaa khanga yenye maneno "Ushavimbiwa, Utaweza Wapi Kukimbia... Utarejea Tu!"
Unakimbia baadae ukikumbuka ulofanyiwa unarudi mwenyewe
Don't think Shunie loves you to that extent... ni binamu yangu huyu! Usije ukajikuta unapiga stori na shangazi angu mimi yaani mamake na binamu Shunie; huku mimi na binamu yangu tunakulana huku jikoni!!
aiseee!!...
 
Niaje wadau, wale wa kufungua mabox ya zawadi natumaini mlikuwa na wakati mzuri leo.
Bila uchoyo nami nakupa zawadi ya nyimbo zilizotamba hapa jukwaani.


Burudika na ujue nakupenda wewe mdau unayelifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom