Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Shikamoo my swiNimefurahi kuchelewa kulala kumbe mtoto shunie anazaliwa
Zimefika binamu.Basi sawa binamu, msalimie shangazi!!!
Eeenh umepata binamuZimefika binamu.
Happybirthday mke mweee aka shangazi yao watu yaani jiwe![]()
![]()
![]()
![]()
Mungu akupe maisha marefu tuendelee kufurahia uwepo wako
Ndio
Kazaliwa leo kabinti ka kapuku
Nimefurahi kuchelewa kulala kumbe mtoto shunie anazaliwa
Asanteni vipenzi nawapendaHappy birthday shunie kipenzii



Dah! Kweli Mungu mkubwa, yaani kanikutanisha na binamu yangu mwingine!!! Ila alikuwa ananisimulia kuhusu wewe bhana, lakini si unajua binamu Shunie na kale kapengo kake?? Sasa badala ya kukuita Shadiiya, yeye alikuwa anasema Shaida, lakini ndo wewe wewe tu binamu yangu!!!
Mimi ni Dadake ndio. Ila sina hakika kama alikuwa anakusimulia kuhusu mimi.
Habari ni nzuri tu binamu. Nimefurahi kukufahamu binamu.
KhaaaaaaAh! Kumbe wewe ni dadake binamu Shunie?! Au ndo yule ambae kila siku binamu yangu alikuwa ananisimulia? Sasa kama huyu binamu ni dada yako, basi nawe ni binamu yangu!
Habari binamu!!!!
Mwenzangu kaja na gia kwamba we ni binamu ake hivyo kwa kuwa we ni Dada basi na mie ni binamu yake. Ikabidi nikubali tu huku nikisubiri uje.Eeenh umepata binamu
Tunakupenda mno kivuruge wetuAsanteni vipenzi nawapenda![]()
Mama JJ za mchana,mkaribishe shunie nyumbaniShikamoo my swi
Thanks shemelaAsanteni vipenzi nawapenda![]()
Mmeanza sasa na bongo movie yenu kunifanya mm poyoyoMama JJ za mchana,mkaribishe shunie nyumbani