Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Sawa sawa love!
Heri ya Krismasi mdau wa ukweli
Sawa sawa love!
huu mwandiko nimeumiss mimi.
Mi mzima,, habari ya wewe,? Angalia basata wasikuite
Heri ya Krismasi mdau wa ukweli na ninayekuzimia muda wote.
Basata wanakula sikukuu saa hizi
Merry Christmas
DadaSalam zako nyingi![]()
Rafiki niko poa,am sorry kwa mabaya yote niliyokutendea!......rohoo yangu inanihukumu sana hasa nikikumbuka maneno yako kuwa nilikuwa nakudhoofisha!!![]()
Salaam rafiki![]()
Nambie mdogo wangu mimi mwenyeweDada
heri ya skukuu

hayo umeniambia mimi au mwingine,?
Rafiki niko poa,am sorry kwa mabaya yote niliyokutendea!......rohoo yangu inanihukumu sana hasa nikikumbuka maneno yako kuwa nilikuwa nakudhoofisha!!
Mary xmas pia!
Hahaha hahahaKhaaaaa
Ndio unafufuka
Nakupenda mi,nisalimie tetra wangu ukimwona,mwambie nampenda sanaHeshima yko kpenzi
Ushampa zawadi yake Shunie?Hahahaaaa. Mie huwa nakujaga kesho yake tutakutana tu na zawadi yako itakuwepo.
Merry Christmas Makapuku...![]()
Alikuja late nikawa mshiko wenyewe nishautumia kwenye lunch hivyo nikamwambia siku nyingine yaani kila mechi akishinda hadi zawadi yake nampatia.Ushampa zawadi yake Shunie?
Na kwakoo piaHeri ya Krismasi anko.
AminaaaIwe kheri kwako na familia yako![]()
Maana ya dear ni nini eti?Merry Christmas my dear ABJ
Nakusalimiaa sanaMkuu leo usizini ni dhambi kubwa sana!![]()