Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ooh hapo sawa kumbe una team ya mpira ukiniambia umesafiri haupo nyumbani huwa unanipa mawazo sana kuhusu viumbe vyako
Mimi siendi hukoo ujuee...
Nitawanunulia kwa mpesa niwatumie namba watajipanga hukoo....

Viumbe wangu kuna mtu hukoo nina timu ya mpira kwa nyumba
 
Umeanza mambo kwani saa ngapi nimekwambia nakupenda

Eenh halafu kuna mwingine nakuwa na akili gani eti dada
Ushasahau tayari....
Una akili zako nazijua
Una akili za Heineken nazo nazijua
Una akili za wife material, hizi nazo naanza kuzielewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom