Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hahaha hahaha hahaha hahahaHahaha kama nakuona wife material ulivyokuwa unajituma navuta picha tu mm
Mfyuuuuu...
Hahaha hahaha hahaha hahahaHahaha kama nakuona wife material ulivyokuwa unajituma navuta picha tu mm
Nilisema nitairudia
Ngoja nikasililize sasa
Mwenyewe nina stress wacha nikatolee mapovu huko
Una nini lakiniii...Hahhahahah wife material weeeh
Hahaha hahaha hahaha hahaha
Mfyuuuuu...
Hebu niache hukooooHahhahhaha
Una stress gani eti dada
Una nini lakiniii...
Yule mamangu ujue....
Hebu niache hukoooo
Ndo nilikuwa sokoni....Hahhaha kwahiyo wife material kumbe mida ile mlikuwa hamjaonana kabisa na mama mkwe
HayaKwani nimebisha mm jamani ndio mama ako
MfyuuuuuNiambie basi si unajua mm na wewe mwili mmoja
Mm mzima jamani niliwamiss tu mimi






nacheka mm mama mkwe anaishi wapiii halafu ni mzee sana au vipi hakai na mtu
Ndo nilikuwa sokoni....
Mama mkwe hajui kutumia luku mepewa kibarua cha kununua luku kila ikiisha
Mfyuuuuu
Mwili mmoja my foot...
Asante baba wawili wangu nimefurahi sana na mimiTulikumiss pia shangazi yetu,,nmefurahi kukuona hapa
Mama mkwe yupo mjini kabisaaa, anaishi na mtu ila nae ni kama Sakayo tuu...nacheka mm mama mkwe anaishi wapiii halafu ni mzee sana au vipi hakai na mtu
Hahaha hahahaHahhaha kwahiyo unakataa mm na wewe sio mwili mmoja
Mama mkwe yupo mjini kabisaaa, anaishi na mtu ila nae ni kama Sakayo tuu...
Ni wale wazee wa mjini
Hahaha hahaha
Acha nisikufwe mieee
Mimi siendi hukoo ujuee...Ngoja kwanza kwahiyo utakuwa sana na safari za moshi kwa mama mkwe
Halafu huwa nawaza wale viumbe vyako nani huwa anawaangalia ukisafiri