Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Dec 19, 2018 #354,641 Ooh hapo sawa kumbe una team ya mpira ukiniambia umesafiri haupo nyumbani huwa unanipa mawazo sana kuhusu viumbe vyako Sakayo said: Mimi siendi hukoo ujuee... Nitawanunulia kwa mpesa niwatumie namba watajipanga hukoo.... Viumbe wangu kuna mtu hukoo nina timu ya mpira kwa nyumba Click to expand...
Ooh hapo sawa kumbe una team ya mpira ukiniambia umesafiri haupo nyumbani huwa unanipa mawazo sana kuhusu viumbe vyako Sakayo said: Mimi siendi hukoo ujuee... Nitawanunulia kwa mpesa niwatumie namba watajipanga hukoo.... Viumbe wangu kuna mtu hukoo nina timu ya mpira kwa nyumba Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,642 Shunie said: Hahaha hapo ndio ninapokupendea ujue usiponiambia kufwa kupo hapa Click to expand... Hahaha hahaha Kama nakuona jamanii
Shunie said: Hahaha hapo ndio ninapokupendea ujue usiponiambia kufwa kupo hapa Click to expand... Hahaha hahaha Kama nakuona jamanii
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,643 Shunie said: Ooh hapo sawa kumbe una team ya mpira ukiniambia umesafiri haupo nyumbani huwa unanipa mawazo sana kuhusu viumbe vyako Click to expand... Kumbe huwa unanijali eeehhhh Mfyuuuuu
Shunie said: Ooh hapo sawa kumbe una team ya mpira ukiniambia umesafiri haupo nyumbani huwa unanipa mawazo sana kuhusu viumbe vyako Click to expand... Kumbe huwa unanijali eeehhhh Mfyuuuuu
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Dec 19, 2018 #354,644 Niko nawashwa bora usingeniambia Sakayo said: Hahaha hahaha Kama nakuona jamanii Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Dec 19, 2018 #354,645 Sakayo said: Kumbe huwa unanijali eeehhhh Mfyuuuuu Click to expand... Mfyuuuuu kwa nn nisikujali na wakati nakupenda
Sakayo said: Kumbe huwa unanijali eeehhhh Mfyuuuuu Click to expand... Mfyuuuuu kwa nn nisikujali na wakati nakupenda
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,646 sema kweeli Shunie said: Niko nawashwa bora usingeniambia Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,647 Shunie said: Mfyuuuuu kwa nn nisikujali na wakati nakupenda Click to expand... Hahaha hahaha Mwenyewe... Wife material bhana, huwa kuna muda sikuamini saaaanaaa...
Shunie said: Mfyuuuuu kwa nn nisikujali na wakati nakupenda Click to expand... Hahaha hahaha Mwenyewe... Wife material bhana, huwa kuna muda sikuamini saaaanaaa...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Dec 19, 2018 #354,648 Hahhaha kweli bwana ebu twende ukaniambie basi Sakayo said: sema kweeli Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Dec 19, 2018 #354,649 Hahhahah hauniamini kwa nini wife material Sakayo said: Hahaha hahaha Mwenyewe... Wife material bhana, huwa kuna muda sikuamini saaaanaaa... Click to expand...
Hahhahah hauniamini kwa nini wife material Sakayo said: Hahaha hahaha Mwenyewe... Wife material bhana, huwa kuna muda sikuamini saaaanaaa... Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,650 Shunie said: Hahhaha kweli bwana ebu twende ukaniambie basi Click to expand... Hahaha hahaha Ndo ikawa vile yaaani
Shunie said: Hahhaha kweli bwana ebu twende ukaniambie basi Click to expand... Hahaha hahaha Ndo ikawa vile yaaani
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,651 Shunie said: Hahhahah hauniamini kwa nini wife material Click to expand... Kuna muda unakuwaga na akili za Heineken mdogo wanguu aki
Shunie said: Hahhahah hauniamini kwa nini wife material Click to expand... Kuna muda unakuwaga na akili za Heineken mdogo wanguu aki
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 19, 2018 #354,652 Shunie said: ..View attachment 972456 Click to expand... Relativity! Toto baya zuri kwa mama yake
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 19, 2018 #354,653 Huu ni moja ya clip niliyoifurahia na kuiweka hapa jukwaani
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Dec 19, 2018 #354,654 Umeanza mambo kwani saa ngapi nimekwambia nakupenda Eenh halafu kuna mwingine nakuwa na akili gani eti dada Sakayo said: Kuna muda unakuwaga na akili za Heineken mdogo wanguu aki Click to expand...
Umeanza mambo kwani saa ngapi nimekwambia nakupenda Eenh halafu kuna mwingine nakuwa na akili gani eti dada Sakayo said: Kuna muda unakuwaga na akili za Heineken mdogo wanguu aki Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Dec 19, 2018 #354,655 Obe said: Relativity! Toto baya zuri kwa mama yake Click to expand... Binamu shikamoo Naomba nyimbo ya zuzu ya chinbees imfikie Nyong'o mkalia ini wangu popote alipo anajijua
Obe said: Relativity! Toto baya zuri kwa mama yake Click to expand... Binamu shikamoo Naomba nyimbo ya zuzu ya chinbees imfikie Nyong'o mkalia ini wangu popote alipo anajijua
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,656 Shunie said: Umeanza mambo kwani saa ngapi nimekwambia nakupenda Eenh halafu kuna mwingine nakuwa na akili gani eti dada Click to expand... Ushasahau tayari.... Una akili zako nazijua Una akili za Heineken nazo nazijua Una akili za wife material, hizi nazo naanza kuzielewa
Shunie said: Umeanza mambo kwani saa ngapi nimekwambia nakupenda Eenh halafu kuna mwingine nakuwa na akili gani eti dada Click to expand... Ushasahau tayari.... Una akili zako nazijua Una akili za Heineken nazo nazijua Una akili za wife material, hizi nazo naanza kuzielewa
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,657 Kwenye maisha bwana kuna mengi sana
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,658 Kuna watu wana roho nzuri sana na za kipekee
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,659 Natamani awe anasoma hapa
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 19, 2018 #354,660 Siku ulonipisha kiti kwenye mwendokasi