Nimerudi tena na uzuri ni kuwa nimemuona wangu wa nguvu, wangu mwenyewe wa ukweli ambaye kwa wasiomjua watamjua tu. Great to see you
husna muba
Hebu tuburudike na muziki maana Jumatatu kuielekea Krismasi na Mwaka Mpya ndo hii na kumbuka tu kama unawajibika kwa wanaokuangalia basi kumbuka hela utakazopata mwezi huu ndo utalipia ada na kodi ya pango/nyumba/kiwanja na biashara za online zinatozwa kodi.
wewe unayekaa kuuza vitu vipya used online sijui umefungua IG page, au whatsapp basi TRA wanakutakia sikukuu njema
...kabla sijalipiwa ada ya English kozi kwa Ras simba na ndugu zangu
ningendako na
Tumosa , huu wimbo bilijuaga wanaimba Husnaaaaaaaaaaaa kumbe ni whatslove