Makapuku Forum

Makapuku Forum

That's my sister!!wajipange na aliyemfanyia teuzi
Safi sis msuburie,alianga anaenda kutafuta

...binamu, nakuona na vile vile pokea salamu nyingi sana toka kule ambako hupendi pajulikane. Zile hela za msimu wa sikukuu anasema alizipata ila anasema ulisahau kuweka hela ya kutolea.

Mzima lakini mdau wa ukweli
 
Nimerudi tena na uzuri ni kuwa nimemuona wangu wa nguvu, wangu mwenyewe wa ukweli ambaye kwa wasiomjua watamjua tu. Great to see you husna muba
Hebu tuburudike na muziki maana Jumatatu kuielekea Krismasi na Mwaka Mpya ndo hii na kumbuka tu kama unawajibika kwa wanaokuangalia basi kumbuka hela utakazopata mwezi huu ndo utalipia ada na kodi ya pango/nyumba/kiwanja na biashara za online zinatozwa kodi.
wewe unayekaa kuuza vitu vipya used online sijui umefungua IG page, au whatsapp basi TRA wanakutakia sikukuu njema



...kabla sijalipiwa ada ya English kozi kwa Ras simba na ndugu zangu ningendako na Tumosa , huu wimbo bilijuaga wanaimba Husnaaaaaaaaaaaa kumbe ni whatslove
 
Nimerudi tena na uzuri ni kuwa nimemuona wangu wa nguvu, wangu mwenyewe wa ukweli ambaye kwa wasiomjua watamjua tu. Great to see you husna muba
Hebu tuburudike na muziki maana Jumatatu kuielekea Krismasi na Mwaka Mpya ndo hii na kumbuka tu kama unawajibika kwa wanaokuangalia basi kumbuka hela utakazopata mwezi huu ndo utalipia ada na kodi ya pango/nyumba/kiwanja na biashara za online zinatozwa kodi.
wewe unayekaa kuuza vitu vipya used online sijui umefungua IG page, au whatsapp basi TRA wanakutakia sikukuu njema



...kabla sijalipiwa ada ya English kozi kwa Ras simba na ndugu zangu ningendako na Tumosa , huu wimbo bilijuaga wanaimba Husnaaaaaaaaaaaa kumbe ni whatslove
Ha ha ha ,,ras simba anasema kuna kozi moja unatakiwa ukamalizie ,,ili uwe na kiwango kizuri zaid cha kuongea tofaut na sasa
 
...binamu, nakuona na vile vile pokea salamu nyingi sana toka kule ambako hupendi pajulikane. Zile hela za msimu wa sikukuu anasema alizipata ila anasema ulisahau kuweka hela ya kutolea.

Mzima lakini mdau wa ukweli
Ha ha ha binamu fitina hzo,,hayo mambo ni ww na mjomba mjomba,,

Mm mzima kabsa,,habar ya uzima huko
 
Nimerudi tena na uzuri ni kuwa nimemuona wangu wa nguvu, wangu mwenyewe wa ukweli ambaye kwa wasiomjua watamjua tu. Great to see you husna muba
Hebu tuburudike na muziki maana Jumatatu kuielekea Krismasi na Mwaka Mpya ndo hii na kumbuka tu kama unawajibika kwa wanaokuangalia basi kumbuka hela utakazopata mwezi huu ndo utalipia ada na kodi ya pango/nyumba/kiwanja na biashara za online zinatozwa kodi.
wewe unayekaa kuuza vitu vipya used online sijui umefungua IG page, au whatsapp basi TRA wanakutakia sikukuu njema



...kabla sijalipiwa ada ya English kozi kwa Ras simba na ndugu zangu ningendako na Tumosa , huu wimbo bilijuaga wanaimba Husnaaaaaaaaaaaa kumbe ni whatslove
 
Ha ha ha ,,ras simba anasema kuna kozi moja unatakiwa ukamalizie ,,ili uwe na kiwango kizuri zaid cha kuongea tofaut na sasa


....hata nguvu ya kwenda imeisha maana marybaby kanitosa (huyu ndo ilikuwa sababu ya mimi kuomba hela ya inglishikozi( na korosho wanasumbua kutulipa, wanatangaza wamelipa ilhali hawajalipa kitu na media zinakali kuwasikiliza viongozi badala ya kuja kutuuliza sisi wakulima tuliohakikiwa. Anyway maisha yanaendelea.
 
Ha ha ha binamu fitina hzo,,hayo mambo ni ww na mjomba mjomba,,

Mm mzima kabsa,,habar ya uzima huko

nashukuru Mungu kwa kweli maisha yanasonga kimkakati japo kuna kigagaziko cha kikikotoo cha pensheni lakini ndo hivyo tena muda bado unaruhusu kufurahia salamu zako na asante kwa kunijulia hali. Cheupe hajambo? Maana anko wangu Lyon Lee alikuwaga na cheusi dawa wake hawakudumu sana sasa sijui wewe itakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom