marybaby JF-Expert Member Joined Apr 11, 2017 Posts 3,260 Reaction score 9,197 Dec 12, 2018 #351,781 moudgulf said: mbu wa huku hawafi kijinga jinga Click to expand... alafu huko ndiko kwao Jiwe
marybaby JF-Expert Member Joined Apr 11, 2017 Posts 3,260 Reaction score 9,197 Dec 12, 2018 #351,782 moudgulf said: Njema marry, habari za huko kwenu Click to expand... Kwetu salama kbs. Nyie wa kanda ya ziwa jee mmeamka poa?
moudgulf said: Njema marry, habari za huko kwenu Click to expand... Kwetu salama kbs. Nyie wa kanda ya ziwa jee mmeamka poa?
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,202 Reaction score 770,343 Dec 12, 2018 #351,783 marybaby said: Kwetu salama kbs. Nyie wa kanda ya ziwa jee mmeamka poa? Click to expand... Tumemka salama ingawa hali ya hewa imekuwa chanya
marybaby said: Kwetu salama kbs. Nyie wa kanda ya ziwa jee mmeamka poa? Click to expand... Tumemka salama ingawa hali ya hewa imekuwa chanya
marybaby JF-Expert Member Joined Apr 11, 2017 Posts 3,260 Reaction score 9,197 Dec 12, 2018 #351,784 moudgulf said: Tumemka salama ingawa hali ya hewa imekuwa chanya Click to expand... Hakuna namna inabidi mpambane nayo ya mpito hiyo
moudgulf said: Tumemka salama ingawa hali ya hewa imekuwa chanya Click to expand... Hakuna namna inabidi mpambane nayo ya mpito hiyo
Kapwil JF-Expert Member Joined Apr 3, 2018 Posts 2,618 Reaction score 3,743 Dec 12, 2018 #351,785 Mzima shunie uhali gani?
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 12, 2018 #351,786 marybaby said: Barikiwa baba (Muuza korosho asie na shamba) Click to expand... Asante kwa kuniombea baraka. Kuhusu shamba, jamani me nina shamba na cheti changu kinatoa karibu gunia mianne. Wameshahakiki, hapa nasubiri mpunga not, Ntwara kuchele.
marybaby said: Barikiwa baba (Muuza korosho asie na shamba) Click to expand... Asante kwa kuniombea baraka. Kuhusu shamba, jamani me nina shamba na cheti changu kinatoa karibu gunia mianne. Wameshahakiki, hapa nasubiri mpunga not, Ntwara kuchele.
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 12, 2018 #351,787 Nakuona baba wawili wangu mzima lakini ningendako said: Mm mwenyew shangazi Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 12, 2018 #351,788 ningendako said: Tupo salama sana,,tulikuwa mapumzko kidogo,,siujua mambo ya mwsho wa mwaka Click to expand... Mmeshamaliza mapumziko au bado mnaendelea
ningendako said: Tupo salama sana,,tulikuwa mapumzko kidogo,,siujua mambo ya mwsho wa mwaka Click to expand... Mmeshamaliza mapumziko au bado mnaendelea
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 12, 2018 #351,789 ningendako said: Click to expand... Ulikua unanitega eenh au baba wawili kuna mate ya aina mbili mm siyajui
ningendako said: Click to expand... Ulikua unanitega eenh au baba wawili kuna mate ya aina mbili mm siyajui
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 12, 2018 #351,790 Mm mzima sijui wewe Lyon Lee said: Nakusalimiaaa Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 12, 2018 #351,791 Sio kwa jotrooooo hiliii kunuka kama beberu Lyon Lee said: Hahahahhaa tutakimbianaaaa Click to expand...
Sio kwa jotrooooo hiliii kunuka kama beberu Lyon Lee said: Hahahahhaa tutakimbianaaaa Click to expand...
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 12, 2018 #351,792 marybaby said: Hii tabia ya kukimbiana kitandani sio Click to expand... .....".alikimbia sababu unatumia unga wa Congo" Alisikika mlevi mmoja akisimulia kwa sauti wakati anaenda kupokea kitambulisho cha umachinga
marybaby said: Hii tabia ya kukimbiana kitandani sio Click to expand... .....".alikimbia sababu unatumia unga wa Congo" Alisikika mlevi mmoja akisimulia kwa sauti wakati anaenda kupokea kitambulisho cha umachinga
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 12, 2018 #351,793 Sijambo moud za wewe sasa mdebwedo jamani hawezi kuwa na sauti nzito moudgulf said: Sauti peke yake ? Hata akiwa mdebwedo!!!? Hujambo Shunie Click to expand...
Sijambo moud za wewe sasa mdebwedo jamani hawezi kuwa na sauti nzito moudgulf said: Sauti peke yake ? Hata akiwa mdebwedo!!!? Hujambo Shunie Click to expand...
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 12, 2018 #351,794 Asante Shunie kwa je Wajua. Ha ahaha, eti wanawake wanakumbuka sauti nzito. Tangu lini wameacha kukumbuka hela!? Wengine tukiwa tunakoroma ndo bass inatoka
Asante Shunie kwa je Wajua. Ha ahaha, eti wanawake wanakumbuka sauti nzito. Tangu lini wameacha kukumbuka hela!? Wengine tukiwa tunakoroma ndo bass inatoka
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 12, 2018 #351,795 moudgulf said: Tumemka salama ingawa hali ya hewa imekuwa chanya Click to expand... ...chanya bila hasi ni hasara tupu. Omba uteuliwe na jiwe upate hasi ndo uifurahie chanya
moudgulf said: Tumemka salama ingawa hali ya hewa imekuwa chanya Click to expand... ...chanya bila hasi ni hasara tupu. Omba uteuliwe na jiwe upate hasi ndo uifurahie chanya
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,202 Reaction score 770,343 Dec 12, 2018 #351,796 Obe said: ...chanya bila hasi ni hasara tupu. Omba uteuliwe na jiwe upate hasi ndo uifurahie chanya Click to expand... Ni heri nisipate uteuzi kuliko kuteuliwa kisha baada ya muda nikatenguliwa
Obe said: ...chanya bila hasi ni hasara tupu. Omba uteuliwe na jiwe upate hasi ndo uifurahie chanya Click to expand... Ni heri nisipate uteuzi kuliko kuteuliwa kisha baada ya muda nikatenguliwa
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,202 Reaction score 770,343 Dec 12, 2018 #351,797 Shunie said: Sijambo moud za wewe sasa mdebwedo jamani hawezi kuwa na sauti nzito Click to expand... Sauti nzito ya mwanaume mdebwedo itakufaa nini weye?
Shunie said: Sijambo moud za wewe sasa mdebwedo jamani hawezi kuwa na sauti nzito Click to expand... Sauti nzito ya mwanaume mdebwedo itakufaa nini weye?
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,202 Reaction score 770,343 Dec 12, 2018 #351,798 Lyon Lee said: Nilikuchoshaa sana usiku sikutaka kukusumbuaa asbh Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 12, 2018 #351,799 nacheka mpaka kwenye daladala wananishangaa capitalpool said: View attachment 965538 Click to expand...
nacheka mpaka kwenye daladala wananishangaa capitalpool said: View attachment 965538 Click to expand...
Tetramelyz JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 4,369 Reaction score 12,469 Dec 12, 2018 #351,800 Ndii maana nakumbukwa Shunie said: Kazi kwenu wanaume wenye sauti za kinandaView attachment 965441 Click to expand...
Ndii maana nakumbukwa Shunie said: Kazi kwenu wanaume wenye sauti za kinandaView attachment 965441 Click to expand...