marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Hata naelewa bc mi naona maelezo tuu.Kuna taarifa gan kwani
Eti ni kweli, ?


Hata naelewa bc mi naona maelezo tuu.Kuna taarifa gan kwani


Na nafsi yake.Wa moyooo
Unataka kuelewa nini hapo?Naombeni nieleweshwe hapanimezooom lkn bila bila
Hata naelewa bc mi naona maelezo tuu.
Eti ni kweli, ?![]()
Mimi tena, ?![]()
Wewe ndio
Kilichopo hapoUnataka kuelewa nini hapo?

Niombee kwa Baba Mungu!Wapi rafiki.?
Upo poa, ?
Mkuu unajua huyo ni mke wa mtu ?
Jifanye unajibu kuwa na ww ni mtu uone
Nakuombea na Mungu hatokutupa mja wake.Niombee kwa Baba Mungu!
Weee waachee naona wanakuzoeaa sana hawa watu
Hujakosea..malizia kwa kumuita SHEMEJI![]()
Mm nishakupaa infoo ...huyo mke wangu story hapa hakunaHahahaha wako au
Mimi shida yangu ni tamuuuuu!Niombee nipate tamuuuuuuu kutoka hapa!Nakuombea na Mungu hatokutupa mja wake.
Lkn uache utukutu kwa shangazi yako



Tunawachemshia dawa yao.Weee waachee naona wanakuzoeaa sana hawa watu
Anatokaje, ?Mbona Anantoa kwenye reli mchana kabisa
cc:shunie uje uthibitishe hapa