Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Cc ningendako
Akikujibu nistue, nilete ushahidi. Jiandae kisaikolojia utapata kaif:a nzuri
Akikujibu nistue, nilete ushahidi. Jiandae kisaikolojia utapata kaif:a nzuri
Na sisi hatutakiii uachanee nae plz ...
salama Obe??..
Unataka kukwatua mtt-mzr kwa gia ya church![]()
Ukwelii tunasemaa sio fitinaBasi muache fitna
Siujui mchezo wake, kama ni mchezaji mzurinamtakia heri.Alikiba ni mchezajii touch zake anavoama uwanjaaa ...akiwa siliasiiii anawezaa kuongezaa siku za kuzeeka
Nakuona mjomba na fitina zako,,,Kumbee hujayajuaa machimbo yakeee
Unanifahamu vzr love,,,usiwasikilizeMhh fitna hizi
Hahahahha.....na wote tuseme Na Iwe Hivyo. Anko, salamu nyingi toka kwa mke wa mjumbe, anataka umuhakikishie kabisa kuwa akiachika utakaa naye. Me nilimshauri tu kuwa ni ngumu sana kumdhamini mmasai.
Yeye ni nomad, hatulii, akisikia Tanga kuna malisho yamechipua anaenda, akisikia mvua zinanyesha Matombo basi hata viatu havai.
Safi sana,,,hapo ndio napokupendea wallahSiachani naye lakini
Naona mnapeana machimboBinamuuu heshima yakoo kwanzaaaaa...huyooo anapendaaaa pesa utafikir alizaliwaa nazoo na kauli mbiu yetu unaijuaaaa...no pesa bt mzgo unatoaaa kama mkataba sio wa kudumu
Tangublini nikawa na fitina na wwNakuona mjomba na fitina zako,,,
Aisee,,,hawez pata mshituko wowote kwan tyl anazjua fitina zenuAkikujibu nistue, nilete ushahidi. Jiandae kisaikolojia utapata kaif:a nzuri
macho nimefunga na masikio nimezibaUnanifahamu vzr love,,,usiwasikilize
Naona mnapeana machimbo
relax, uko na mtu mwelewaSafi sana,,,hapo ndio napokupendea wallah