Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Alikiba ni mchezajii touch zake anavoama uwanjaaa ...akiwa siliasiiii anawezaa kuongezaa siku za kuzeeka
Alikiba ni mchezajii touch zake anavoama uwanjaaa ...akiwa siliasiiii anawezaa kuongezaa siku za kuzeeka
Aku..yangu Ina mtu tayari. Tafuteni nyingine
NjooHebu njoo chemba, nikuambie kitu nimekiota church
Kweli aisee,,,itifaki izingatiweMjombaaa mjombaaaaaa ukoo uheshimiweeee
Kwa heshima ya obe na tuseme ni vyema na haki ukaongezaaa yule wa nyuma ya baaKweli aisee,,,itifaki izingatiwe
Kumbee hujayajuaa machimbo yakeeeAna chimbo??
Kumbee hujayajuaa machimbo yakeee
.....na wote tuseme Na Iwe Hivyo. Anko, salamu nyingi toka kwa mke wa mjumbe, anataka umuhakikishie kabisa kuwa akiachika utakaa naye. Me nilimshauri tu kuwa ni ngumu sana kumdhamini mmasai.Kwa heshima ya obe na tuseme ni vyema na haki ukaongezaaa yule wa nyuma ya baa
Mhh fitna hizi
Ukipendaaa bogaaa
.....na wote tuseme Na Iwe Hivyo. Anko, salamu nyingi toka kwa mke wa mjumbe, anataka umuhakikishie kabisa kuwa akiachika utakaa naye. Me nilimshauri tu kuwa ni ngumu sana kumdhamini mmasai.
Yeye ni nomad, hatulii, akisikia Tanga kuna malisho yamechipua anaenda, akisikia mvua zinanyesha Matombo basi hata viatu havai.
Ana chimbo??


salama Obe??..

Hebu njoo chemba, nikuambie kitu nimekiota church
Siachani naye lakini
Ujueee mjombaaa babu yetu umechukuaa mikobaa weweAisee,,,hizi fitina hazijaisha tu,,,